Nini hatma ya Lowassa akikosa urais 2015?

Nini hatma ya Lowassa akikosa urais 2015?

EL sio mchafu sana kama watu wanavyofikiria ingawa mimi simkubali...kitakacho msafisha mwisho wa siku ni kusema ukweli mengi tutayasikia tusubiri tu 2015

mkuu ni maajabu kumsema lowasa mchafu ukamuacha kikwete
 
atakufa kabla ya siku zake,mwenyewe kwa sasa ni mgonjwa japo anajikakamua kana kwamba watu hawamuoni,acha atawanye pesa maana anazo za kifisadi lakini mwisho wa siku atakiona kilichomtokea six kwenye usipika.

Tujiulize wema huu anaouonyesha kwa jamii kautoa wapi?,pesa hizi kazitoa wapi?,akipata urais atazirudishaje?,waliomchangia na wanaoendelea kumchangia atawalipa nini?,

Kama wewe unamaagano na Mungu itakuwa hivyo lakini Kwa sababu wewe unamdhihaki Mungu unaweza kutangulia mbele ya haki kabla ya yule unaemuombea kufa. Kweli kama ilivyo ID yako wewe ni kikarogosi cha ukweli.
 
mmewachagua hao mliona wanafaa, wameacha kuifisadi nchi? hayo nayo ni maoni yako msomi. uko la saba au form one. Thinking ability yako na uwezo wa kupambanua mambo unayo. hongera.
 
Back
Top Bottom