Nini hatma ya Lowassa akikosa urais 2015?

Nini hatma ya Lowassa akikosa urais 2015?

Hata hiyo 2015 sijui kama atafika!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Halafu mkuu sijui umetumia kipimo gani katika kuangalia weledi wa Dr wenu, maana kama hizo sifa unazompa ni za ukweli basi jimbo lake la karatu alililiongoza mpaka akaacha mwenyewe lingekua linaongoza kwa maendeleo Tanzania, na Afrika kwa ujumla, lakini , rekodi yake kwa kipimo cha jimbo bado ni dhaifu sana, na ni mtu wa kawaida sana, mnamkuza bure tu, na kumpa sifa asizostahili, na mambo kama haya yanamadhara makubwa sana..

mfano mzuri aende karatu aone hilo vumbi lililoko pale,unashindwa kutambuw nyumba imeezekwa kwa majan au kwa bati kwa jins vumbi lilivyotapakaaa kilamahali,suala la maji ndo usiseme ukichota maji ya bombani unaweza ukafikir ni chai ya maziwa,huo ni mfno mdogo tu
 
Nashangazwa na wale wanaoishi na kutawaliwa na mawazo ya kizamani. If you are not among them, God bless you and if you are among them, why don't you change the scope of you brain's thinking? I advice you let your brain think broadly and never set thinking limits usijefanana na huyo au wale wanaouliza uhalali wa Mh. Edward Ngoyai Lowassa ambaye ni Rais mtarajiwa wa awamu ya TANO hapa nchini eti kustahili kuitwa waziri mkuu mstaafu au la.

Weyeeeeee! payuka wakati wenzako, the majority wanakuitikia kwa kutikisa vichwa bila kujua mioyoni mwao ni EL Supporters maana mwishowe utakuwa makapi.

Believe me you! He is the next State President na akipewa ushirikiano, hutasikia tena karani wa mahakama akikoromea wanaofutilia haki zao, hutasikia walimu wakiandamana kudai mafao, sana sana wataandamana kupongeza na si kudai lolote, hutasikia traffic police akisimamisha gari hovyo, hutasikia mtumishi wa serikali akipandishwa cheo kinyemela wala kutoroka kazini, hutasikia wagonjwa wakilalamikia huduma duni kwenye hospitali za umma na wala hutasikia na watumishi wa umma wakichelewa kupandishwa vyeo au kucheleweshwa bila kujiendeleza kielimu na wala hutasikia tena watumishi wa umma wakiajiriwa kimya kimya bila kufuata kanuni za ajira.

Hutasikia machinga wakipigana na mgambo wala manispaa yoyote.

NISEME HUTASIKIA MENGI AMBAYO SIJAYATAJA HAPA na kama unapinga maana ni haki yako ila kwa kutoa sababu maalum, nitafurahi ukichangia hoja ila nitafurahi sana ukipinga kutokana na chuki na fitna zako, itikadi ya aina yoyote lakini I advice you prepare yourself psychologically ujue namna ya kunufaika na utendaji kazi wake badala ya kubweteka ukapitwa na huduma mbali mali under his exellency because he is the next State President na kama huamini, waulize waliopambana naye kwa style zote lakini wakashindwa.
Nawasilisha
 
Toa ujinga wako umelipwa tshs ngapi?kwa unafiki wako
 
Wanasema ''Hardwork Pays'' lakini si muda wote, kuna wakati unaweza fanya sana kazi kwa bidii na bado usione matunda ya kile ulichokifanya.

Rasili mali pesa pamoja na rasilimali watu ambayo Bwana Lowassa amewekeza ili apate uraisi ni kubwa sana, ametumia nguvu kubwa sana kupata kuwahi kutumika ndani ya nchi hii toka imeumbwa na baba wa mbinguni.

Najiuliza, ''siku Lowassa atakapo ukosa uraisi atakuwa katika hali gani?"

Itakuwa ni siku ya kilio cha kusaga meno, siku hiyo ngamia atapenya kwenye tundu la sindano, Lowassa atapata aibu kubwa zaidi ya Brazil siku ile ilipofungwa magoli saba na Ujerumani.

Lowassa utaweka wapi sura yako? Kumbuka kwamba, kutokana na sababu za kiafya hauna msimu mwingine wa kugombea uraisi, huu ndio msimu pekee unaweza kukunusuru.

Lowassa, utazimia? utakimbia? utajiua? utanena kwa lugha?

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
 
Last edited by a moderator:
Duuuh hii kali .ngoja mashabiki wake waje nao waanze kunena kwa lugha
 
Fokonyokowewe umepata tetesi kuwa jina lake litakatwa, je yeye hazipata!!! Kama ni hivyo bsai yeye kazipata kabla yako na namwona yuko sawa. Kwa maana nyingine EL ni mwanasiasa nguri, mzoefu wa siasa makini na chafu hivyo anayejua nn maana ya siasa
 
Ataendelea kufanya shughuli zake kama anavyofanya sasa,kwani kukosa urais sio mwisho wa maisha
 
Atapararazi kimwili na kiakili mzee wa watu jela itamuhusu huyu fisadi
 
wanajamvi tujadili hili suala,kwa mwndo anaokwenda nao lowassa ni waz hakuna mwanachama yeyete ndn ya ccm anaeweza kufuata alipo pita,amewaacha mbali sna wapinzan wake,sasa kuna tetes kuwa jina lake litakatwa mapema ili kuhakikisha hagombei nafas ya urais kwa tiketi ya ccm,sasa embu tujadili endapo ccm iitamkta jina lake nn kitatokea?????je ndo mwisho wa ccm au mzee wa mammvi atakubali yaishe????naomba ttujadili hili kwa mustakabli wa nchi yetu,ushabiki usio kuwa na maana tuuweke pemben
Umekuwa shekhe Yahya nini?
 
Wanasema ''Hardwork Pays'' lakini si muda wote, kuna wakati unaweza fanya sana kazi kwa bidii na bado usione matunda ya kile ulichokifanya.

Rasili mali pesa pamoja na rasilimali watu ambayo Bwana Lowassa amewekeza ili apate uraisi ni kubwa sana, ametumia nguvu kubwa sana kupata kuwahi kutumika ndani ya nchi hii toka imeumbwa na baba wa mbinguni.

Najiuliza, ''siku Lowassa atakapo ukosa uraisi atakuwa katika hali gani?"

Itakuwa ni siku ya kilio cha kusaga meno, siku hiyo ngamia atapenya kwenye tundu la sindano, Lowassa atapata aibu kubwa zaidi ya Brazil siku ile ilipofungwa magoli saba na Ujerumani.

Lowassa utaweka wapi sura yako? Kumbuka kwamba, kutokana na sababu za kiafya hauna msimu mwingine wa kugombea uraisi, huu ndio msimu pekee unaweza kukunusuru.

Lowassa, utazimia? utakimbia? utajiua? utanena kwa lugha?

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)

Mkuu Lowassa hakuna mtu au taasisi yoyote inaweza kupambana na lowassa mumechelewa kesha ota mizizi anajua kona zote za TZ ana connection zote za usalama ana hela yakutosha ana wananchi wengi wanaompenda Lowassa Rais ukitaka usitake
 
Last edited by a moderator:
Jiulize akipata urais itakuwaje............
:angry:
 
Mkuu Lowassa hakuna mtu au taasisi yoyote inaweza kupambana na lowassa mumechelewa kesha ota mizizi anajua kona zote za TZ ana connection zote za usalama ana hela yakutosha ana wananchi wengi wanaompenda Lowassa Rais ukitaka usitake

wewe umekurupuka kwasababu hakuna mahala mleta mada kasema kuna mtu ama taasisi ya kumzuia Lowassa,yeye kauliza endapo akikosa kuwa rais itakuwaje,kwa maana anaelewa kabisa zaidi ya sisi wananchi haipo taasisi nyingine ..ni kwamba hatutampa na kama kujiua akasage chupa anywe mapema
 
EL sio kwamba anautaka uraisi bali sisi wananchi wenye nia njema na nchi yetu ndio tunamuomba kila kukicha uweze kuwa
raisi wetu kwani utendaji wake na uzalendo wake kwetu sisi watanzania ni mkubwa sana... love you forever hon Edward Lowasa
 
wewe umekurupuka kwasababu hakuna mahala mleta mada kasema kuna mtu ama taasisi ya kumzuia Lowassa,yeye kauliza endapo akikosa kuwa rais itakuwaje,kwa maana anaelewa kabisa zaidi ya sisi wananchi haipo taasisi nyingine ..ni kwamba hatutampa na kama kujiua akasage chupa anywe mapema

Nasikia huko kwenu izimbya vita si kidogo na lowassa alikuja na karamagi last month akaenda ngara.
Na campaigner manager wa tyson ni mbunge wenu.
 
Back
Top Bottom