Nini hatma ya Dreamliners?

Nini hatma ya Dreamliners?

😂😂😂
Screenshot_20200201-180601.png
 
Marekani hawana time na Magufuli na hata hilo jina tu kutamka hawawezi, anunue Dream liners asinunue hilo ni shauri yake, wamarekani hawana cha kupoteza.

Mtu unanunua kandege kamoja ukifikiri unaweza ukawafanya wamarekani wakufumbie macho ukatili unaowafanyia watu wako! Hilo halipo.

Wairan tu pamoja na kuweka order ya hizo Boeing zaidi ya mia moja lkn walitolewa nje na order ikafutwa sasa sembuse wewe unayenunua kandege kamoja kwa miaka mitano.

Kwenye maswala yanayohusu maslahi ya Marekani, hawatakiga mchezo wala unafiki na wala hawana urafiki na mtu. Sasa hapo bado, wanamsubiri Magufuli kwenye uchaguzi mkuu hapo ndipo atapata fursa ya kuwafahamu wazungu vizuri.

Mnangagwa ameshawafahamu sasa kwani naye alikuwa hajawapata vema. Wazungu ni washenzi sana hasa kwa yule anayetaka kujifanya kuwa anaweza kuishi "Independent of them" bila ya wao na hilo ndilo lililowaponza akina Mugabe, Gaddafi, Saddam, Iran na hata Hugo Chavez na hata sasa Nicolas Maduro bila kumsahau Mr. Kim.
 
Haya mambo mnayakuza sana, ukimshtua Mike Pompeo sasa hivi ukamuuliza kuhusu Tanzania siajabu wala asijue ilipo.
Unadhani kila mtu kajaza uharo kwenye kichwa kama wewe ?

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Dreamliner ni moja ya aina za ndege zinazotengenezwa na kampuni ya Kimarekani ya Boeing.

Rais wetu huyu, tokea aingie madarakani kaweka moja ya vipaumbele vyake kulifufua shirika la ndege la taifa. Ufufuzi huo unaenda sambamba na ununuzi wa ndege, zikiwemo hizo zinazotengenezwa huko Marekani.

Sasa jana baada ya serikali ya Marekani kuweka kikwazo cha kusafiri dhidi ya baadhi ya Watanzania, serikali itajibu mapigo kwa kiwango gani?

Magufuli wakati mwingine huwa ni mtu wa mihemuko. Je, atasusa kuendelea kuzinunua hizo Dreamliners? Akizisusia Dreamliners atanunua ndege gani? AirBus?

Jumuiya ya Ulaya nao wakifuata mkondo wa Marekani je? Atasusa kuzinunua AirBus?

Akisusa kuendelea kuzinunua Dreamliners, hiyo iliyopo [hivi zipo ngapi kwani?] ataifanya nini? Ataiuza? Atairudisha?

Talk about being stuck in a rock and a hard place!

More like the rock [Jiwe] is now stuck in a hard place.
Mkuu mbona umeanza tena kumtoroka Magufuli wakati una topic kibao humu za kumsifia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo mnayakuza sana, ukimshtua Mike Pompeo sasa hivi ukamuuliza kuhusu Tanzania siajabu wala asijue ilipo.
Unafikiri yy ni mjinga kama ww ulivyo mpumbavu.
Shame kabisa on you
 
Back
Top Bottom