Kuna ndenge zinategenezwa na urusi m23 ni zaidi ya boing
sent from toyota Allex
Kuna suala la vipuri vya dreamliner n.k, ikiwa vikwazo vikaongezwa maradufu si ajabu ndege za Air Tanzania zikapaki ktk hangar bila vipuri na kukosa cheti cha kimataifa kuwa ni salama kuruka kutumia anga za nje ya Tanzania.
Serikali ya CCM Mpya iwe wapole ijitafakari na kujizuia ili mambo yasije kuwa makubwa zaidi ya zuio la Makonda na karipio la kuruhusu demokrasia ya vyama vingi sambamba na haki za msingi za binadamu.
