Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,718
45,125
Wakuu wa jukwaa hili, ni takribani miaka 32 sasa imepita tangu Mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama, Luteni Jenerali Imran Kombe alipouwawa na askari polisi mkoani Kilimanjaro.

Mengi yamezungumzwa, je ni nini kilitokea na kujiri mpaka 'deep state' ikaamua kumnyamazisha aliyekuwa boss wao?

Karibuni kwa mjadala wakuu, kama hujui basi usilete masihara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…