Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,718
- 45,125
Hayo Mambo Ni Magumu Hasa Unapotafutwa Ukweli Hata Kama Unajulikana Wazi
Unajua Kuhusu Sakata La Ambassador General Abrahaman Shimbo Na Trillions Moja Akiwa Civil Servant Na Liliishaje?
MkuuHivi huyu mzee yupo wapi siku hizi ?
Na issue ya hizo pesa sidhani hata kama ilikwenda popote
Iweke hapaMkuu
Jukwaa Hili Kuna Mjadala Uliwekwa Kuhusu Sakata Zima Mpaka Kifo Cha Mzeru Kule Airport
Anakula matunda yake au sio ?Mkuu
Yupo Tanzania BaadaYa Kumaliza Muda Wake Wa Kuwa Ambassador Kule China
Anakula Maisha Vema Na 4.3 TrillionsYake Na Viinua Mgongo TeleAnakula matunda yake au sio ?
Anakula Maisha Vema Na Trillions Moja Yake Na Viinua Mgongo Tele
Nchi Ya Asali Na Maziwa Hii
FAHAMU | Utata Wa Kifo cha Jenerali Imran Kombe (Nani Anahusika?) Sehemu ya Kwanza - Rorya Finest MediaWakuu wa jukwaa hili, ni takribani miaka 22 sasa imepita tangu Mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama, Meja Jenerali Imran Kombe alipouwawa na askari polisi mkoani Kilimanjaro.
Mengi yamezungumzwa, je ni nini kilitokea na kujiri mpaka 'deep state' ikaamua kumnyamazisha aliyekuwa boss wao?
Karibuni kwa mjadala wakuu, kama hujui basi usilete masihara.