bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,626
- 789
Wewe kwa akiliyako unafikiri ni mpaka huyo Raisi apinduliwe? Dhamira tu ya hilo jambo basi ni uhainiRais kapinduliwa?
Wewe kwa akiliyako unafikiri ni mpaka huyo Raisi apinduliwe? Dhamira tu ya hilo jambo basi ni uhainiRais kapinduliwa?
Sawa mwalimu wa tuishieniWatuumiwa ❌
Watuhumiwa ☑️
Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga?
Yamekuwa hayo tenaWewe kwa akiliyako unafikiri ni mpaka huyo Raisi apinduliwe? Dhamira tu ya hilo jambo basi ni uhaini
Nimeshasoma na kuelewa na as far as tunavyoelewa na tulivyowafuatilia hawa ndugu zetu ktk matamshi ya maneno, hakuna mahali wanatamka wanataka kwenda kumuua Rais..!Soma kifungu cha 39 (2) (b) (c) na (d) alafu sikuliza clips zao kisha chagua mwenyewe kusuka au kunyoa
Na wewe ni mhaini?Sawa mwalimu wa tuishieni
Sawa, lakini je, Dr. Slaa alitamka kuwa ataitisha maandamano haramu kwa lengo hilo?Je, akisema alikuwa anakudusia kutumia maandamano ya amani na yanatambulika kikatiba bado atakuwa na hatia?Kuhamasisha maandamano kutaka kumtoa Rais Madarakani ni uhaini kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu
Ulivyosoma hapo uhaini ni kumuua Rais pekee?Nimeshasoma na kuelewa na as far as tunavyoelewa na tulivyowafuatilia hawa ndugu zetu ktk matamshi ya maneno, hakuna mahali wanatamka wanataka kwenda kumuua Rais..!
Sasa wewe Lord denning unayeunda kosa la uhaini, thibitisha kwa ushahidi wa kosa la kila mmoja namna walivyovunja vipengere hivyo..
Hiyo mahakama iko ndani ya vituo vya polisi? Wapelekeni huko mkaone ujinga na upumbavu wenu..!Haya maelezo pelekeni mahakamani 🔨
Ulisikia akisema maandamano ya amani?Sawa, lakini je, Dr. Slaa alitamka kuwa ataitisha maandamano haramu kwa lengo hilo?Je, akisema alikuwa anakududia kutumia maandamano ya amani na yanatambulika kikatiba bado atakuwa na hatia?
As long as maandamano ni haki ya kikatiba, hapo teyari kuna loophole?
Hakuna darasa nawe tamka kama alivyotamka utapata vifungu kwa vitendo!Baada ya kusikiliza clip ya Dr. Slaa inayotajwa kuwa ndio ushahidi wa Dr. Slaa kuongea kusudio la kupindua serikali, binafsi naamini huko mahakamani definition ya uhaini kwa maana ya kupindua serikali ni lazima vitatumika katika kutoa hukumu.
Hivyo, ningependa kujua uuhaini ni kitu gani hasa kwa mujibu wa sheria husika? na zaid maneno "kupindua serikali" yanatasiriwa vipi katika sheria za nchi hii.
Kwa kuanza, tunaomba anaeweza kututuwekea sheria nzima ya uhaini afanye hivyo ili tupate walau mwanga uhaini ni kitu gani na zaid ili uhaini utimie au uhesabike ni uhaini , vitendo au matamshi gani na katika mazingira gani yanawzeza ku-fit definition ya uhaini na kumtia mtu hatiani/matatani.
Naamini kupitia kesi hii, tutajifunza mengi kama kwenye ile kesi ya ugaidi aliyopewa Freeman Mbowe.
Na wewe pia uangalie nani aliejibiwauzi unahusu uhaini mkuu.....soma kuanzia juu
Ni zaidi kumbe?Ulivyosoma hapo uhaini ni kumuua Rais pekee?
Keyboard warriors. Mmemuingiza Slaa mkenge halafu mmejificha mtandaoni anajuta mzee wa watu kuropoka.Hiyo mahakama iko ndani ya vituo vya polisi? Wapelekeni huko mkaone ujinga na upumbavu wenu..!
Huelewi kuswahili? Hujui kusoma kiswahili?Ni zaidi kumbe?
Dadavua ni kwa namna ipi ni zaidi ya hapo kwa kutaja makosa yao..
Ndio the extreme kwa maana ya maandamano kama njia ya mwisho kabisa katika kuipindua serikali kama wananchi wa mataifa mengine wanavyofanya. Sasa katika hii dunia, umewahi ona au kusikia Raia wanaondama kutaka serikali iondoke madarakani wakatuhumiwa kufanya uhaini?Ulisikia akisema maandamano ya amani?
The extreme ni kupindua Serikali ndo maandamano ya amani?
Soma Sheria yetu alafu linganisha na hayo maneno!Ndio the extreme kwa maana ya maandamano kama njia ya mwisho kabisa katikq kuipindua serikali kama wananchi wa mataifa mengine wanavyofanya.. Sasa katika hii dunia, umewahi ona au kusikia Raia wanaondama kutaka serikali iondoke madarakani wakatuhumiwa kufanya uhaini?
Ukiacha ukweli kuwa maandamano ni haki ya kikatiba, wananchi pia hawana haki ya kutaka Raia aondoke madarakani kupitia maandamano?
we huwezi kusoma katiba ukaielewa au unasubiri waje wapotoshaji wakuingize kingi. Tafuta katiba kasome zipo mpaka za kiswahiliBaada ya kusikiliza clip ya Dr. Slaa inayotajwa kuwa ndio ushahidi wa Dr. Slaa kuongea kusudio la kupindua serikali, binafsi naamini huko mahakamani definition ya uhaini kwa maana ya kupindua serikali ni lazima vitatumika katika kutoa hukumu.
Hivyo, ningependa kujua uuhaini ni kitu gani hasa kwa mujibu wa sheria husika? na zaid maneno "kupindua serikali" yanatasiriwa vipi katika sheria za nchi hii.
Kwa kuanza, tunaomba anaeweza kututuwekea sheria nzima ya uhaini afanye hivyo ili tupate walau mwanga uhaini ni kitu gani na zaid ili uhaini utimie au uhesabike ni uhaini , vitendo au matamshi gani na katika mazingira gani yanawzeza ku-fit definition ya uhaini na kumtia mtu hatiani/matatani.
Naamini kupitia kesi hii, tutajifunza mengi kama kwenye ile kesi ya ugaidi aliyopewa Freeman Mbowe.
we kapeleke mahakamani hiyo yenye nafasi, yaani we ni mpumbavu huna hata repair, katiba haina nafasi mahakamani? NakusikitikiaHii sidhani kama ina nafasi mahakamani.
Mjinga wewe..!Huelewi kuswahili? Hujui kusoma kiswahili?
Nikuelezee nini hapo wakati vifungu vya Sheria vinajieleza vizuri kabisa?
Kama mimi mjinga basi wewe ni mpumbavuMjinga wewe..!
Kwa sababu umevielewa kwa namna unavyotaka wewe na wahaini wenzako akiwemo Rais wenu Samia Suluhu Hassan iwe...