Nini asili ya huu mtazamo katika jamii?

Nini asili ya huu mtazamo katika jamii?

Nadhani umenielewa vibaya. Life expectancy kua below 40 sio consequence ya kuzaa kila mwaka.
I mentioned this ili uelewe why wanawake walikua wanaweza kuzaa mwanzo mwisho, bila kupumzika/kupumzishwa. This was just a few century (should I say decades) ago, almost all over the world. Haki za wanawake zimeanza kutambulika in the 20th century. Uzazi wa mpango umekuja even more recently. Kumbuka huko nyuma kila kitu kilikua produced kwa mikono so kids were considered manpower investment. In some rural communities it is still the case.

Actually there is nothing wrong or illogical in linking a high birthrate and a low life expectancy (especially for women).

The very process of giving birth is life threatening, especially in an age before modern medicine.
 
Actually there is nothing wrong or illogical in linking a high birthrate and a low life expectancy (especially for women).

The very process of giving birth is life threatening, especially in an age before modern medicine.
Definitely so. However there was more than one reason for the short life expectency. Ukimsoma Tiger ni kama alielewa kuzaa sana kulisababisha the rate to fall. but in actual fact it looks as if the rate has always been low for more than one reason, then wanawake wanapopunguza kuzaa sana inainua life expectancy. we almost say the same thing lakini.
 
Nadhani umenielewa vibaya. Life expectancy kua below 40 sio consequence ya kuzaa kila mwaka.
I mentioned this ili uelewe why wanawake walikua wanaweza kuzaa mwanzo mwisho, bila kupumzika/kupumzishwa. This was just a few century (should I say decades) ago, almost all over the world. Haki za wanawake zimeanza kutambulika in the 20th century. Uzazi wa mpango umekuja even more recently. Kumbuka huko nyuma kila kitu kilikua produced kwa mikono so kids were considered manpower investment. In some rural communities it is still the case.

Kwa uelewa wangu mdogo, watu wa zamani walikuwa wakiishi maisha marefu kuliko sasa na mara nyingi wanawake wamekuwa na umri mrefu kuliko wanaume so nahitaji kufahamishwa zaidi juu ya hizo taarifa zako.
 
Kwa uelewa wangu mdogo, watu wa zamani walikuwa wakiishi maisha marefu kuliko sasa na mara nyingi wanawake wamekuwa na umri mrefu kuliko wanaume so nahitaji kufahamishwa zaidi juu ya hizo taarifa zako.

Watu wa zamani walikuwa wakiishi muda mrefu? Mbona takwimu zinaonyesha matarajio ya kuishi sasa hivi yameongezeka kuliko yalivyokuwa zamani kama miaka ya 60, kwa mfano.

Au wewe unazungumzia zamani ya lini? Ya biblia?
 
nyie ndio mmeleta maanguko yote kuanzia adam na hawa mpaka delila mpaka kajala kamuacha mwenzie jela,mpaka lulu kwa kanumba....ongeza na unayoyajua wewe hapo kwa historia,adventures,story za mtaani,vitabu vya dini jinsi wanawake wanavyofelisha....n it well known wewe lazima utakuwa lidada la mjini wewe...
Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!! Yaani kiumbe wewe umenichefua jioni ya leo acha tu!

Yani huto tu upendeleo tunaopewa kwa kunguziwa tu machungu kinukta ndo umekuuuma sanaaaaa!

Ndo tabia gani na unafiki wa hali yajuu kujifanya umesahau/ kujisahaulisha kwa makusudi Ukweli ya kwamba Wanaume na mfumo wenu dume mmetukandamiza karne na karne na bado mnaendelea huko vijijini! Eeeeh!

Ndo nakwambia hivi dawa yenu inachemka! Acha tuchukue chukue Uraisi wa baadhi ya nchi ndo mtapoisoma namba.

Wanaume watu wabaya sanaaaa!

Pamoja na kutusulubu karne na karne ila bado hamjarizika na walivofaidi babu zenu bado na nyie mataka! Kupewe chance ya kuandika Vitabu vitakatifu ndo kutumia huo mwanya kudumisha mfumo dume?????? Na hamjatosheka bado mpaka leo mmedumisha MFUMO DUME MAMBO LEO

1. Mwanamke hana Ubini, lazima achukue wa mwanaume either baba yake au mmewe! Huwezi kuwa Ms. Lara officially! Lazima uwe Miss either baba au mume.

2.Mwanamke aliekamilika ni yule alieolewa na kudumu kwenye huo mfumo dume. Hata upate maendeleo kiuchumi vipi kama huna mume bado naonekana una kasoro.

3. Mwanaume mmoja anatembea na nyie hata 10, either mnajuana, mnahisiana, ama vovote yeye keshafaidi nyie mtajiju.

4.Mke bora si yule anaekuza uchumi bali ni yule mtumwa bora kwa mumewe na kufata matakwa ya binadamu mwenzie wa kiume na kupambana awezavyo kuvumilia coz akibaki nanyanyasika na akiondoka atazaraulika tu. No way out!

5.Mama bora ni yule asijinafasi mshahara wake na kujibanaaa ili atunze familia kuokoa jahazi ilihali mumewe anaweka heshima bar. Wanao wakiwa ovyo mumeo hawamshangai! Wanakula sahani moja na wewe tu mama.

6.Mchumba bora ni yule anaemlea Bf kama mtoto. Ukijitia akili na maarifa mengi utazeekea nyumbani.

7.Mwanamke akipata cheo katanua miguu kwa wazito, hana lolote. Hata mumewe anakuwa na mahaka na hicho cheo cha ghafla!

IFIKE MAHALI WANAUME MKUBALI KUTULIPA FIDIA KWA MAOVU YENU NA BABU ZENU MLIOTUFANYIA NA MNAYOENDELEA KUTUFANYIA. MTU ACHIE POOO! KIDOGO!
 
Kwa uelewa wangu mdogo, watu wa zamani walikuwa wakiishi maisha marefu kuliko sasa na mara nyingi wanawake wamekuwa na umri mrefu kuliko wanaume so nahitaji kufahamishwa zaidi juu ya hizo taarifa zako.
Basi ni uelewa mdogo tu. Watu wa zamani walikua na life expectency fupi ila modern medecine na other discoveries ndio yanarefusha maisha. In 200 years (five generations) we have doubled the human life expectancy (source).
But of course according to the bible human life expectancy was around 900 years. No eveidence so ni kuamini au kutoamini. Mimi binafsi siamini. Hapo itabidi nikuache na mkuu Kiranga ndie ana bidii ya kuchambua mambo ya imani.
 
Last edited by a moderator:
Basi ni uelewa mdogo tu. Watu wa zamani walikua na life expectency fupi ila modern medecine na other discoveries ndio yanarefusha maisha. In 200 years (five generations) we have doubled the human life expectancy (source).
But of course according to the bible human life expectancy was around 900 years. No eveidence so ni kuamini au kutoamini. Mimi binafsi siamini. Hapo itabidi nikuache na mkuu Kiranga ndie ana bidii ya kuchambua mambo ya imani.

Unachanganya life expectancy na maximum lifespan.
Hiyo life expectancy ya miaka 900 umeipataje hata kama ilichoandi bible ni cha kweli? Maana hilo ni swala la kitakwimu.
 
Last edited by a moderator:
Unachanganya life expectancy na maximum lifespan.
Hiyo life expectancy ya miaka 900 umeipataje hata kama ilichoandi bible ni cha kweli? Maana hilo ni swala la kitakwimu.
Inawezekana hapo bold ikawa kweli...
But hata hivo kwenye bible sio mmoja au wawili waliishi 900 years. which indicates quite a high average.
Back to topic, maelezo yangu yana-make sence?
 
Inawezekana hapo bold ikawa kweli...
But hata hivo kwenye bible sio mmoja au wawili waliishi 900 years. which indicates quite a high average.
Back to topic, maelezo yangu yana-make sence?

Ngoja turudi square one.
Jibu swali hili, "nini asili ya mtazamo kuwa women need to be empowered?"
 
Nimeisoma mkuu, can you please narrow it to the point?
that is the narrower I can go I am afraid. you can't summarize such a complex matter into one or two lines. but here is my try: (1) the maternal role they played for years tok them away from the economic scene and subsequently the political decision making level. (2) this imbalance is being corrected through raising awareness, changing existing policies and a quota system of representation.
 
that is the narrower I can go I am afraid. you can't summarize such a complex matter into one or two lines. but here is my try: (1) the maternal role they played for years tok them away from the economic scene and subsequently the political decision making level. (2) this imbalance is being corrected through raising awareness, changing existing policies and a quota system of representation.

Point no. (1) Kwahiyo hii hali ilisabishwa na wanaume kuwa selfish? Kwamba they took advantage of women being mothers? Do you real think so?
 
Hayo yote hutokana na mfumo dume tuliorisishwa na mababu zetu, kuwa mwanamme anatakiwa kufanya hivyo ili kulinda hadhi na heshima, ambapo huamini yeye ni bora kuliko mwanamke, so na mwanamke hana power yoyote mbele ya mume, yeye ni mtu wa kukaa na kutekeleza kile mume anataka, na hasipo tekeleza huambulia kupewa adhabu kama kupigwa..

Pia katika mfumo huu kandamizi, mwanamke amewekwa katika kundi la kuwa yeye ni mtu ambaye asiye weza kujimudu katika masuala mbalimbali kama ulivyo sema security nk.. So mwanaume anatakiwa atekeleze hayo na endapo mwanaume ataonyesha udhaifu katika mambo basi jamii humdharau na kumuweka katika kundi JIKE (ambapo kwa wanaume hii wanaamini ni tusi na ni dharau kubwa)

HUO NDIO MTAZAMO DUNI ULIOAMINIWA NA JAMII YETU YA ZAMANI.

Hatahivyo kwa karne ya sasa wanawake wamechoshwa na huo mfumo kandamizi na kuamua kuwageuzia kibao wanaume kuonyesha na wao bila wanaume, wanaweza!!!!

Na ndio maana tunataka kupewa nafasi makazini na katika siasa pia ili tuwaonyeshe uwezo wetu.!!

Hebu tuachieni hii nchi muone kama kutakuwa na ufisadi, nyinyi wanaume mnafichiana siri sana, sisi hatunaga hizo ukiona fisadi tunamtaja hata awe ni mume wangu, MIFANO IKO WAAAZI KABISAAA!!!!!

Hapo nilipopiga mstari ndipo hasa panaonesha utofauti wa mwanamke na mwanaume. Sisi wanaume hatusubiri kupewa nafasi. Tunapambana kutafuta hizo nafasi kwa hali na mali. Mwanaume alivyoumbwa kibaolojia, anajiona yuko juu ya mwanamke. Sio swala la mfumo dume. Kwa kifupi hili ni swala la kibaolojia zaidi. Dini nayo ndio ikakandamiza msumari wa mwisho kwenye jeneza. Mfumo Jike (R.I.P)
 
Hapo nilipopiga mstari ndipo hasa panaonesha utofauti wa mwanamke na mwanaume. Sisi wanaume hatusubiri kupewa nafasi. Tunapambana kutafuta hizo nafasi kwa hali na mali. Mwanaume alivyoumbwa kibaolojia, anajiona yuko juu ya mwanamke. Sio swala la mfumo dume. Kwa kifupi hili ni swala la kibaolojia zaidi. Dini nayo ndio ikakandamiza msumari wa mwisho kwenye jeneza. Mfumo Jike (R.I.P)

Mkuu, waweza kuwa sahihi. Hili neno "mfumo dume" linaweza kuwa limeanzishwa na watu fulani wanaojiita "wanaharakati" ili hali wanaendeshwa na interests zao hasa za kisiasa(umagharibi). Nipo tayari kusahihishwa.
 
Mwanamke kuwa mzaaji kibaiolojia kunampa a natural disadvantage. This spiraled further over the ages and emerged into "mfumodume".

This is not justifying mfumodume, this is explaining mfumodume.

Kuwa na mtoto tumboni maana yake hayuko empowered kwenda kuwinda kama mwanamme, na ni mtu wa kuletewa zaidi.

Watoto wakizaliwa wanakuwa na natural affinity kwa mama - the unseen umbilical cord- kuliko baba. This used to be the case anyway, and it is still so in a good number of the developed mammals.

Umetaka kujua asili ya mfumodume.

Asili yake ni baiolojia.

Again, this is explaining, not justifying. We must rise above a purely biological construct and adopt a more cerebral approach.
Nimeipenda hii.
 
Nimeipenda hii.

Shukurani.

Wenzetu wengine - wenzetu kwa maana ya raia wa nchi moja nasi, waweza kuwa si wenzetu kwa mengi tu- bado wanaelea katika matufe kama ya ya Tolemi.

Kama mtu anatafuta kiini - si kwamba mimi nishakipata, nina vitabu vizuri takriban 60 vya kusoma kwa suala hili tu, tusifike kwenye wanawake wenyewe wazoefu ninaotakiwa kuwakabili, mmoja tu afaaye atafanya zaidi ya kunitosha- binafsi sijaona jibu zuri zaidi la mtazamo huu.

Mfumodume ni udhaifu unaorudisha nyuma maendeleo ya dunia nzima, hata kwa sanaa za vichekesho tu kwa kuanzia.

Tuwe na busara za kuushinda.
 
Shukurani.

Wenzetu wengine - wenzetu kwa maana ya raia wa nchi moja nasi, waweza kuwa si wenzetu kwa mengi tu- bado wanaelea katika matufe kama ya ya Tolemi.

Kama mtu anatafuta kiini - si kwamba mimi nishakipata, nina vitabu vizuri takriban 60 vya kusoma kwa suala hili tu, tusifike kwenye wanawake wenyewe wazoefu ninaotakiwa kuwakabili, mmoja tu afaaye atafanya zaidi ya kunitosha- binafsi sijaona jibu zuri zaidi la mtazamo huu.

Mfumodume ni udhaifu unaorudisha nyuma maendeleo ya dunia nzima, hata kwa sanaa za vichekesho tu kwa kuanzia.

Tuwe na busara za kuushinda.

Hivyo vitabu 60, havita kuwa na tofuti kama vimeandikwa kwa malengo ya watu fulani waliofanikiwa kupenyeza matakwa yao mpaka ndani ya wasomi, mifano na ninadhani wawezakuwa unaifahamu.
Mi sitetei ukandamizaji lakini kama ila kama mambo fulani hayaeleweki kwanini tusihoji?
 
Hivyo vitabu 60, havita kuwa na tofuti kama vimeandikwa kwa malengo ya watu fulani waliofanikiwa kupenyeza matakwa yao mpaka ndani ya wasomi, mifano na ninadhani wawezakuwa unaifahamu.
Mi sitetei ukandamizaji lakini kama ila kama mambo fulani hayaeleweki kwanini tusihoji?

Naam,

Lakini siwezi kuvihukumu kwa muhtasari wa kuangalia gamba.

When time and inclination permit, I find instructions even in reading (and watching) polemics.Sometimes they are better than an obscure crass Tarantino cinematographic homage to an even more obscure Humprhrey Bogart move from a movie of the 1940s.

That's why from time to time I like to reassure myself that "The Flat Earth Society" still exists.

Kuhoji ndo mwanzo wa ujuzi, ila tuhoji kwa mawazo yaliyo wazi. Sio unahoji huku una jibu unalolitaka, ukiona uchunguzi unakupeleka usikokutaka unapindisha habari mpaka upate jibu unalolitaka.
 
Back
Top Bottom