Nini asili ya huu mtazamo katika jamii?

Nini asili ya huu mtazamo katika jamii?

Ni mifumo gani ya kibaologia inayopelekea mfumo huo? Pengine hiyo yawezakuwa ya kiasili zaidi.

Mwanamke kuwa mzaaji kibaiolojia kunampa a natural disadvantage. This spiraled further over the ages and emerged into "mfumodume".

This is not justifying mfumodume, this is explaining mfumodume.

Kuwa na mtoto tumboni maana yake hayuko empowered kwenda kuwinda kama mwanamme, na ni mtu wa kuletewa zaidi.

Watoto wakizaliwa wanakuwa na natural affinity kwa mama - the unseen umbilical cord- kuliko baba. This used to be the case anyway, and it is still so in a good number of the developed mammals.

Umetaka kujua asili ya mfumodume.

Asili yake ni baiolojia.

Again, this is explaining, not justifying. We must rise above a purely biological construct and adopt a more cerebral approach.
 
Mwanamke kuwa mzaaji kibaiolojia kunampa a natural disadvantage. This spiraled further over the ages and emerged into "mfumodume".

This is not justifying mfumodume, this is explaining mfumodume.

Kuwa na mtoto tumboni maana yake hayuko empowered kwenda kuwinda kama mwanamme, na ni mtu wa kuletewa zaidi.

Watoto wakizaliwa wanakuwa na natural affinity kwa mama - the unseen umbilical cord- kuliko baba. This used to be the case anyway, and it is still so in a good number of the developed mammals.

Umetaka kujua asili ya mfumodume.

Asili yake ni baiolojia.

Again, this is explaining, not justifying. We must rise above a purely biological construct and adopt a more cerebral approach.

I like the explanation. Nadhani hii inauzito kulilo sababu nyingi kama siyo zote. Na pengine itakuwa vigumu sana kuondoa huu mfumo kuwa kwa kufanya hivyo tutakuwa tunakwenda kinyume na utaratibu wa asili.
 
Ukitafsiri mwanamke kwa kithungu jibu unalipata waaazi kabisa

Woman = Wo + Man: maana yake mwanamke hawezi kuwa kama mwanamke bila ya mwanamme.

Napita tuu.
 
I like the explanation. Nadhani hii inauzito kulilo sababu nyingi kama siyo zote. Na pengine itakuwa vigumu sana kuondoa huu mfumo kuwa kwa kufanya hivyo tutakuwa tunakwenda kinyume na utaratibu wa asili.

Naam.

Hili lisibweteze jitihada za kuutokomeza mfumo huu kwa sababu kuutokomeza ni vigumu (kwa sababu asili inafanya iwe vigumu kuutokomeza).

Tukiwa na mawazo haya tutashindwa hata kujenga barabara za kupanda milimani, kwa sababu asili inafanya hili nalo liwe gumu.

Swali la kutuongoza lisiwe "kipi ni rahisi kufanya?" bali liwe "kipi ni haki na sawa kufanya?".
 
Mtazamo wa kuona kuwa mwanamke ni kiumbe anayehitaji favour kama vile, kulindwa(security), kuinuliwa, kutetewa, mpaka kuwa na siku ya wanawake, siku ya kina mama, viti maalumu, makazini kupewa kipaumbele na vitu kama hivyo. Vinatoka wapi?
Ni dini siasa au tamaduni?
kwani kuna tatizo gani?
 
Leo tunajadili mfumo dume, after 100 to come, tutajadili mfumo jike. Mfumo Dume unatatizo gani? mimi sioni tatizo ila baadawatu kupata maendeleo ya kielimu, na uhuru wa mambo mbalimbali basi jamii inataka kubadili mfumo wa maisha. vitabu vya dini mbalimbali ngano za kiafrika n,k ninaonesha manabii, mitume, wakuu na watu wenye mafanikio, n.k walio wake zaidi ya mmoja na maisha yalienda!!
kama unaimani ya dini hhuwei kuwa unajadili mfumo huu, vinginevyo unatenda dhambi.
my take: hebu fikiri wewe ni mama unakuta mwanao wa kiume ndo anapika, anabaki na mtoto, na anafanya shughuli zote za nyumbani wakati mke wake ameenda na amerudi job amejipumzisha anasoma gazeti? how would you feel?
 
lara 1 Mi nadhani tatizolako ni moja, naona hujapata mme mzuri
hayo uliyo yataja hapo juu sio unyanyasaji kwa mwanamke bali nyingi ni sifa za mwanamke, msuala ya uzinzi mbali. unaona ktk jamii yyt ya waungwana mke kuwa na mume ni kitu cha heshima km vile mume kuwa na mke, na ndivyo tulivyoumbwa" ADAM AND EVE" SIO eve and adam, ww dada huwezikushindana na nature,
kama unataka unayo iita haki sawa mbona hatujasikia kwenye jeshi llt duniani kuna woman battalion, au
kwa nini msiandamane mkasema tunataka na sisi kupewa kundi la wanawake tu twende kupambana vitani,au kwenye maumivu ni wanamme tu lkn kwengine haki sawa, mhh dada, na pia kuna hisia ambazo kubali kata lzm tuwe tofauti mbona vyooni vya jumuia kumeandikwa "male" na "female"sasa km unataka kila kitu sawa basituweke just "toilet"
lazima ufahamubila mwanamke kusingekuwa na mwanamme?
Na sifa nzuri ya mwanamke kikweli kabisa ni kutofanana na mwanamme ki majukumu wa ki utendaji, leo hii kina dada misuruali mpaka unashindwa kuelewa kama huyu ni mwajuma au juma!matokeo yake midada wengine sababu ya kutaka haki sawa wameamua kuwaoa kina dada wenzao, sasa hii si tunakaribisha kiama kabla ya
saa yake,
kaziya malezi na mchango anaofanya mwanamke ktk familia ni kazi ambayo hakuna mwanamme anaweza fanya,
na kwa hilo nawapongeza sana na kuwapigia salute na ni nafasi unique mmepewa na mungu muumba
lkn mengine ya kiumeume hayawafai, tupeni na sisi nafasi ya kuchangia upande wetu.
 
Hayo yote hutokana na mfumo dume tuliorisishwa na mababu zetu, kuwa mwanamme anatakiwa kufanya hivyo ili kulinda hadhi na heshima, ambapo huamini yeye ni bora kuliko mwanamke, so na mwanamke hana power yoyote mbele ya mume, yeye ni mtu wa kukaa na kutekeleza kile mume anataka, na hasipo tekeleza huambulia kupewa adhabu kama kupigwa..

Pia katika mfumo huu kandamizi, mwanamke amewekwa katika kundi la kuwa yeye ni mtu ambaye asiye weza kujimudu katika masuala mbalimbali kama ulivyo sema security nk.. So mwanaume anatakiwa atekeleze hayo na endapo mwanaume ataonyesha udhaifu katika mambo basi jamii humdharau na kumuweka katika kundi JIKE (ambapo kwa wanaume hii wanaamini ni tusi na ni dharau kubwa)

HUO NDIO MTAZAMO DUNI ULIOAMINIWA NA JAMII YETU YA ZAMANI.

Hatahivyo kwa karne ya sasa wanawake wamechoshwa na huo mfumo kandamizi na kuamua kuwageuzia kibao wanaume kuonyesha na wao bila wanaume, wanaweza!!!!

Na ndio maana tunataka kupewa nafasi makazini na katika siasa pia ili tuwaonyeshe uwezo wetu.!!

Hebu tuachieni hii nchi muone kama kutakuwa na ufisadi, nyinyi wanaume mnafichiana siri sana, sisi hatunaga hizo ukiona fisadi tunamtaja hata awe ni mume wangu, MIFANO IKO WAAAZI KABISAAA!!!!!
 
Naam.

Hili lisibweteze jitihada za kuutokomeza mfumo huu kwa sababu kuutokomeza ni vigumu (kwa sababu asili inafanya iwe vigumu kuutokomeza).

Tukiwa na mawazo haya tutashindwa hata kujenga barabara za kupanda milimani, kwa sababu asili inafanya hili nalo liwe gumu.

Swali la kutuongoza lisiwe "kipi ni rahisi kufanya?" bali liwe "kipi ni haki na sawa kufanya?".

Kujenga barabara ili kuweza kupanda mlima hakuwezi kufanya mlima kuwa mteremko, na kupanda mlima si kwenda kinyume na asili ila kugeuza mlima kuwa mteremko(bila kuuvunja) yawezakuwa kinyume na asili, na sijui kama tunaweza.
Hebu nisaidie kuweka sawa ufafanuzi wako.
 
kwani kuna tatizo gani?

Tatizo langu ni kwamba, yawezekana mfumo huu umeanzishwa na binadamu toka katika dini, siasa au tamaduni ila kihalisia haiko hivyo na kwamba pengine mwanaume ndo yuko hatarini zaidi anapojaribu kusimama kwaajili ya mwanamke kuliko kinyumechake.
 
Leo tunajadili mfumo dume, after 100 to come, tutajadili mfumo jike. Mfumo Dume unatatizo gani? mimi sioni tatizo ila baadawatu kupata maendeleo ya kielimu, na uhuru wa mambo mbalimbali basi jamii inataka kubadili mfumo wa maisha. vitabu vya dini mbalimbali ngano za kiafrika n,k ninaonesha manabii, mitume, wakuu na watu wenye mafanikio, n.k walio wake zaidi ya mmoja na maisha yalienda!!
kama unaimani ya dini hhuwei kuwa unajadili mfumo huu, vinginevyo unatenda dhambi.
my take: hebu fikiri wewe ni mama unakuta mwanao wa kiume ndo anapika, anabaki na mtoto, na anafanya shughuli zote za nyumbani wakati mke wake ameenda na amerudi job amejipumzisha anasoma gazeti? how would you feel?

Hayo uliyoandika mwishoni unayaona hivyo kwakuwa umeaminishwa hivyo kizazi hata kizazi. Kwanini unaamini kuwa mwanaume ndiye mwenye haki ya kusoma gazeti wakati mke wake yuko jiko anapika?
 
Hayo yote hutokana na mfumo dume tuliorisishwa na mababu zetu, kuwa mwanamme anatakiwa kufanya hivyo ili kulinda hadhi na heshima, ambapo huamini yeye ni bora kuliko mwanamke, so na mwanamke hana power yoyote mbele ya mume, yeye ni mtu wa kukaa na kutekeleza kile mume anataka, na hasipo tekeleza huambulia kupewa adhabu kama kupigwa..

Pia katika mfumo huu kandamizi, mwanamke amewekwa katika kundi la kuwa yeye ni mtu ambaye asiye weza kujimudu katika masuala mbalimbali kama ulivyo sema security nk.. So mwanaume anatakiwa atekeleze hayo na endapo mwanaume ataonyesha udhaifu katika mambo basi jamii humdharau na kumuweka katika kundi JIKE (ambapo kwa wanaume hii wanaamini ni tusi na ni dharau kubwa)

HUO NDIO MTAZAMO DUNI ULIOAMINIWA NA JAMII YETU YA ZAMANI.

Hatahivyo kwa karne ya sasa wanawake wamechoshwa na huo mfumo kandamizi na kuamua kuwageuzia kibao wanaume kuonyesha na wao bila wanaume, wanaweza!!!!

Na ndio maana tunataka kupewa nafasi makazini na katika siasa pia ili tuwaonyeshe uwezo wetu.!!

Hebu tuachieni hii nchi muone kama kutakuwa na ufisadi, nyinyi wanaume mnafichiana siri sana, sisi hatunaga hizo ukiona fisadi tunamtaja hata awe ni mume wangu, MIFANO IKO WAAAZI KABISAAA!!!!!

Kibailojia, jinsia ya kike inananafasi kubwa ya kuzaliwa kuliko ya kiume, jinsia yakike inaweza kuhimili hali ngumu kama njaa na kiu kuliko ya kiume, jinsia ya kike inawezakuwa na umri mrefu wa kuishi kuliko jinsia ya kiume.
Sasa tujiulize, jamii inamtazamo sahihi inapomchukulia mwanamke kama kiumbe ndhaifu?
 
Kujenga barabara ili kuweza kupanda mlima hakuwezi kufanya mlima kuwa mteremko,

Hakuwezi kufanya mlima kuwa mteremko, lakini hili halimaanishi tusijenge barabara kama juu kuna El-Dorado.

na kupanda mlima si kwenda kinyume na asili

Ni kinyume cha asili, as in moving from higher entropy to lower entropy, ndiyo maana maji ya mto hayapandi mlima.

ila kugeuza mlima kuwa mteremko(bila kuuvunja) yawezakuwa kinyume na asili, na sijui kama tunaweza.

Why should anyone want to do that?

Hebu nisaidie kuweka sawa ufafanuzi wako.

Angalia mlima kwa mujibu wa kani inayotakiwa kutumika na entropy.

Bottom line,
Tusiogope kufanya kitu kizuri kwa sababu ni kigumu.
Tusing'ang'anie kufanya kitu kibaya kwa sababu ni rahisi na utamaduni tuliouzoea.
 
Kibailojia, jinsia ya kike inananafasi kubwa ya kuzaliwa kuliko ya kiume, jinsia yakike inaweza kuhimili hali ngumu kama njaa na kiu kuliko ya kiume, jinsia ya kike inawezakuwa na umri mrefu wa kuishi kuliko jinsia ya kiume.
Sasa tujiulize, jamii inamtazamo sahihi inapomchukulia mwanamke kama kiumbe ndhaifu?
kwani wanawake wanapigania haki kwa sababu ni viumbe dhaifu???
 
Kumbukeni kuna dini zaidi ya moja dunia nzima. Si kila mtu anafuata dini ya kikristo kwahiyo huwezi kutumia sababu hiyo kuhalalisha mateso wanayopata wanawake kwenye dunia hii "ya mwanamme".


Kuna ubaya wowote kufikiri tofauti na mfumo huo wa kidini?
 
Huu uzi mzuri ila ntachangia kesho saa hizi gin ishaingia kichwani.
 
Mfumo dume haimaanishi nani anaenda kazini nani anabaki nyumbani kupika. Kwa fikra za kizamani, mwanamke alikuwa anachukuliwa kama mdhaifu, akili duni, ambae ni chombo cha starehe, jukumu lake ni kufanya kazi "rahisi" kama kutunza familia na kazi za nyumbani. Kwa mtu mwenye akili timamu na ambae ameshawahi kufanya kazi za nyumbani, mnajua kazi ya mwanamke si lele mama.

Jiulize, haya maswali kama mwanamme:
- umeshawahi kukataliwa au kuzuiliwa kuenda shule sababu ya jinsia yako?
-ulishawahi kutopewa promotion kazini sababu ya jinsia yako?
-cheo ulichonacho watu wanaamini ulichapa kazi ili kufika hapo ulipo, au wanaamini ulitembea na kila mtu, kuanzia konda, professor wa chuo, hadi bosi wako?
-unaweza ukawa unafanya kazi aina moja na colleague wako (mwanamke) kazini lakini wewe ukalipwa zaidi. Je, hii ni haki?
- ukitoka usiku, unaogopa kubakwa au watu kukuona mhuni sababu umekaa bar?
-ulishawahi kulazimishwa kuoa mwanamke usiempenda?


Hayo mambo ya mwanamme kupika huku mke wake amekaa ni maamuzi ya wanandoa, binadamu wawili. Jana ilikuwa Mother's Day. Mume wangu alinitengenezea chai, alimtunza mtoto asubuhi ili nipate kupumzika, na alipika tena tena jioni. Sasa ina maana amepoteza uanaume wake sababu amefanya kazi ambazo jamii inaziita za kike?



Leo tunajadili mfumo dume, after 100 to come, tutajadili mfumo jike. Mfumo Dume unatatizo gani? mimi sioni tatizo ila baadawatu kupata maendeleo ya kielimu, na uhuru wa mambo mbalimbali basi jamii inataka kubadili mfumo wa maisha. vitabu vya dini mbalimbali ngano za kiafrika n,k ninaonesha manabii, mitume, wakuu na watu wenye mafanikio, n.k walio wake zaidi ya mmoja na maisha yalienda!!
kama unaimani ya dini hhuwei kuwa unajadili mfumo huu, vinginevyo unatenda dhambi.
my take: hebu fikiri wewe ni mama unakuta mwanao wa kiume ndo anapika, anabaki na mtoto, na anafanya shughuli zote za nyumbani wakati mke wake ameenda na amerudi job amejipumzisha anasoma gazeti? how would you feel?
 
Wanaume na wanawake hawawezi kuwa sawa kamwe. Tuliumbwa tofauti, tuko tofauti kimtazamo, kimatendo, kifikra na kadhalika. Wanawake wanapenda kulalama mwanamke akitaka kuwa sawa na mwanaume anaonekana ana kasoro. Je, mwanaume aking'ang'ania awe sawa na mwanamke wanawake hamtamsuta???

Ifike mahali tukubali haki sawa ni kwamba kila mmoja apate fursa katika ushindani bila kujali jinsia ila kwenye maswala ya familia ibaki baba ndo kichwa, mama anamsikiliza na kumtii baba.
 
Hakuwezi kufanya mlima kuwa mteremko, lakini hili halimaanishi tusijenge barabara kama juu kuna El-Dorado.


Ni kinyume cha asili, as in moving from higher entropy to lower entropy, ndiyo maana maji ya mto hayapandi mlima.



Why should anyone want to do that?



Angalia mlima kwa mujibu wa kani inayotakiwa kutumika na entropy.

Bottom line,
Tusiogope kufanya kitu kizuri kwa sababu ni kigumu.
Tusing'ang'anie kufanya kitu kibaya kwa sababu ni rahisi na utamaduni tuliouzoea.

Ni tamaduni na mazoea au asili? Maana kuna sababu za kibailojia ulizitaja awali.
 
Ni tamaduni na mazoea au asili? Maana kuna sababu za kibailojia ulizitaja awali.

Asili hujenga tamaduni na mazoea.Mazoea na tamaduni ya kujengwa na asili yaweza kuanza kwa kutumia maarifa madogo tu, kwa sababu jamii hutoka kwenye maarifa madogo na kwenda kwenye maarifa makubwa kadiri muda unavyozidi.

Kadiri jamii zinavyotoka kwenye maarifa madogo na kuzidi kuelekea kwenye maarifa makubwa, ndivyo wanajamii wanavyotakiwa kumulika mapokeo yote ya tamaduni na mazoea.

Maarifa madogo yalifanya atu waamini kwamba dunia ni bapa, kwa kuiangalia kwa macho yenye kuona masafa mafupi kwa ukungu wa asili, baada ya kuendelea watu walipata kujua kwamba dunia ni tufe, si ubapa.

Habari ya kufikiri kwamba dunia ni ubapa ni ya asili zaidi ukiangalia kwa masafa mafupi, ni habari rahisi zaidi. Inajibu maswali rahisi kirahisi zaidi. Lakini ukweli ni kwamba asili ina asili ya kutoa na muonekano uliojaa hadaa. Kinachoonekana bapa kumbe ki mviringo, kinachoonekana kidete kikawa kitupu (solids matter is 90% empty space - see atomic theory) kinachoonekana kitupu kikawa kidete (a "vacuum" can spring virtual subatomic particles out of nowhere).

Kwa hivyo basi, tukiiangalia asili, tusiidhalilishe kwa kufikiri tunaielewa vilivyo. Kwa sababu tumeshaona kwamba ina tabia ya kutushangaza kwa kile Waingereza wanachokiita kuwa "counterintuitive". Unaona ndivyo kumbe sivyo, na sivyo kumbe ndivyo, kama Alice katika "Alice in Wonderland" na "Through the Looking Glass".

Bado naendelea kuisoma asili, nafurahishwa sana na quantum physics kama umeona natoa mifano mingi inayohusiana nayo. Inaweza kutoa mafunzo mengi sana kuhusu jinsi gani asili - au tunachofikiri kuwa asili- inavyoweza kutuhadaa.

Uzuri wa sayansi unatokana na utamaduni wa kubishana mpaka pumba zinawekwa pembeni na watu wanaona mchele ni upi.

Mpaka kesho nasoma watu wanafanya majaribio ya kuongezea nadharia za relativity za Albert Einstein, ingawa zimesimikwa kwa majaribio yaliyofuatana katika miaka 100 iliyopita.

Kwa hivyo siwezi kuona ugumu kuchambua umakini wa kufanya mambo kwa kile tunachofikiri ni asili tu.

Hata uwezo wa kufikiria mambo haya na kuyaparaganya ni asili pia.
 
Back
Top Bottom