Nini asili ya huu mtazamo katika jamii?

Nini asili ya huu mtazamo katika jamii?

This is a tautology, kama vile "kutabiri" mtoto atakayezaliwa atakuwa ama wa kiume ama wa kike.

Halafu unaposema "tukitumia mbongo zetu kwa msaada wa nature" what do you mean?

Kutumia ubongo si nature? Kuna kutumia ubongo bila kutumia nature?

Kwani hujacheza draft mkuu? Hapo nime-force "kingi".
Take it easy brother, si unajua wakati mwingine tunaruhusiwa ku-imagene kama mzee wa relativity alivyoipata theory yake?
Vinginevyo hata mimi ntakuuliza "kwani tunaitumia nature in real sense au yenyewe ndo inatutumia, au tunatumiana?"
Oops! Tushatoka nje ya mada.
 
Kwani hujacheza draft mkuu? Hapo nime-force "kingi".
Take it easy brother, si unajua wakati mwingine tunaruhusiwa ku-imagene kama mzee wa relativy alivyoipata theory yake?
Vinginevyo hata mimi ntakuuliza "kwani tunaitumia nature in real sense au yenyewe ndo inatutumia, au tunatumiana?"
Oops! Tushatoka nje ya mada.

Nature ni nini?

Tusitumie maneno tu bila ya kuya define vizuri kwanza.
 
Nature ni nini?

Tusitumie maneno tu bila ya kuya define vizuri kwanza.

A certain power intelligence or whatever it is what is.(ya kwangu hiyo)
Analogous to "God" so to speak.
 
I must say that you have a certain knack for promiscuous tautologies.

Najua tuko off road ila twende tu.
Siwezi kukataa usemalo kwakuwa mara nyingi tunashindwa kuvigundua vitu vilivyo deeply in our mind.
Now would you mind to tell me what's the correct one.
NB. Jibu langu lilikuwa general kwakuwa tuko ndani ya mashua moja.
 
I must say that you have a certain knack for promiscuous tautologies.

Kiranga,
Nadhani huyu Tiger ametafsiri 'nature' kama intelligence ambayo ni direct translation from kiswahili cha mtaani

Mwanangu ana nature, yule ana akili za nature! Pale nilitumia nature!

Spare him...
 
Kiranga,
Nadhani huyu Tiger ametafsiri 'nature' kama intelligence ambayo ni direct translation from kiswahili cha mtaani

Mwanangu ana nature, yule ana akili za nature! Pale nilitumia nature!

Spare him...

Huyu mjanja zaidi ya hivyo.

Anataka kutuletea uvivu tu, hamna kum spare wala nini mpaka achangie vilivyo hapa.
 
Najua tuko off road ila twende tu.
Siwezi kukataa usemalo kwakuwa mara nyingi tunashindwa kuvigundua vitu vilivyo deeply in our mind.
Now would you mind to tell me what's the correct one.
NB. Jibu langu lilikuwa general kwakuwa tuko ndani ya mashua moja.

Why should you think that I have "the correct one".

Or if there is "a correct one" at all ?

What if the answer is duplicitous like the real number solutions for the square root of 4?

Or probabilistic like quantum pertubations?

Or undefined like division by zero?
 
Kiranga,
Nadhani huyu Tiger ametafsiri 'nature' kama intelligence ambayo ni direct translation from kiswahili cha mtaani

Mwanangu ana nature, yule ana akili za nature! Pale nilitumia nature!

Spare him...

Kuwa makini ndugu.
 
Why should you think that I have "the correct one".

Or if there is "a correct one" at all ?

What if the answer is duplicitous like the real number solutions for the square root of 4?

Or probabilistic like quantum pertubations?

Or undefined like division by zero?

Isipokuwa sahihi tunaipiga chini hapa hapa.
If there's not the correct one we will find one.
 
Dhaifu ni Dhaifu tuu huwezi kugeuza hapo enewei mwenye namna nzuri ya kubadili mfumo Dhaifu kuwa imara aanze kwa vitendo tuu badala ya kulalamika na kuomba upendeleo, kisiasa, vyeo, ila sijasikia upendeleo wa kulipa 50 / 50 bill wa maumivu, ulinzi wa nyumbani, kufa vitani, kutongoza, orodha inaendelea....... hapo Ndipo wanawake wengi mnachemsha.
 
Nature ni nini?

Tusitumie maneno tu bila ya kuya define vizuri kwanza.

Hii ngoma ngumu mkuu, ila kwa maelezo ya wikipedia, just a part of it: "Nature is the phenomena refering the physical world and life in general. It's scale ranges from subatomic to cosimic".
How about that?
 
Hii ngoma ngumu mkuu, ila kwa maelezo ya wikipedia, just a part of it: "Nature is the phenomena refering the physical world and life in general. It's scale ranges from subatomic to cosimic".
How about that?

I find fault with binding nature to the physical world.

the arrow of time is natural, yet not physical.
 
Back
Top Bottom