Habari wana JF,
Ninatumai habari njema.
Nilikuwa ninafikiri kujenga nyumba lakini ukitaka kujenga nyumba ya kuishi lazima ufikiri hata surrounding yako (mazingira yanayokuzunguka) kwa mfano majirani, usafi wa mtaa
Hyvio nilitaka kuweka hapa baadhi ya picha ya neighborhood popote niliona nzuri, labda tutapata wazo ya kuendelea nchi zenu bora.
Ningetaka kujua shauri yenu.
First choice
Ninatumai habari njema.
Nilikuwa ninafikiri kujenga nyumba lakini ukitaka kujenga nyumba ya kuishi lazima ufikiri hata surrounding yako (mazingira yanayokuzunguka) kwa mfano majirani, usafi wa mtaa
Hyvio nilitaka kuweka hapa baadhi ya picha ya neighborhood popote niliona nzuri, labda tutapata wazo ya kuendelea nchi zenu bora.
Ningetaka kujua shauri yenu.
First choice