Ninawindwa, mniombee...

Ninawindwa, mniombee...

Wenzangu mnawapata wapi mabinti wa type hizo? Binafsi napenda mwanamke awe ananielewa mm tu halafu awe mkali kwa wanaume wanaomtongoza lkn simpati naishia kuwapata hawa wanaojichekesha chekesha ovyo kwa masela na kugawa gawa namba ovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hutokea tu mkuu, inategemea na unavyojiweka. We unaonekana mtu wa utani mno na kujichekesha hovyo
 
Eeeh hujakutana na madem ving'ang'anizi ndugu yangu.....tena usiombe uwe na mwanamke unayempenda na akamjua...atamfanyia vitukoooo ilimradi tu amkeereee kisa kapendwa na wewe na wee humtaki
Waache tu usiwajibu
 
Japo kuna watu wamekutusi na wataendelea fanya hivyo, mie kwa upande wangu nakupa heko, mdada akishaonesha dharau kwa mtu yeyote mbaya zaidi huyo mtu nijuee ni mstaarabu basi akarage bao, Kutongozwa sio issue kama hakumuelewa jamaa angekataa kiustarabu kama mtu mzima.

Achana na hizi pimbi zinazokuita we mvulana
Nimeshangaa sana mkuu, mimi mwenye dharau ni sumu kubwa kwangu, hata kama hajanifanyia mimi. Kifupi sina dhiki za hovyo hovyo za k, nachagua kwa vigezo vyangu maalumu
 
Huyu ni binti ambaye alikuja kwangu kwa gia kama ya dada. Ni mfanyakazi mwenzangu.

Kiukweli ni binti mzuri tu Manka wa huko kaskazini. Sasa mimi nilimchana kuwa sijamuelewa so sitaki kumchezea

Ikawa nimetangaza uadui yani ananichukia na sijui sababu, na nina mashaka anaweza nitumia hata majambazi.

Chuki yake kwangu ni kubwa sana, ameahidi kuniharibia, salamu hajibu na kanichunia. Anaeneza sumu mpaka kwa mabosi, uzuri ni waelewa.

Nilimkataa kwa sababu huyu binti ana dharau na mjuaji sana, aliwahi kumkataa kwa madaha jamaa yangu aliyejitosa kumtongoza, tena kwa heshima mno.


Nilichoumia sana ni kuwa jamaa yangu ni mtu mstaarabu sana, ni nice guy mzuri mno sasa kwa nini ajibiwe kwa dharau wakati hakustahili?

Na sio huyo tu, ni tabia zake kwa karibu kila mwanaume anayejitosa kumtongoza. Anajiamini sana for nothing


Napambana naye vipi huyu?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Kwahio nani anastahili DHARAU?,
Je ?, kama na wewe ulimkataa kwa DHARAU ndio maana anakuwinda alipe kiasi kama wewe ulivyomlipia kiasi Rafiki yako.

Wacha Mapambano yaendelee.
 
Kamsemee kwa yule muhindi aje amchezeshee kichapo asirudie tabia ya kukuwinda.
Ikishindikana katafute upinde na mshale u level ground ya mapambano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom