Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Inawezekana Tulikua tunahisia tu lakini Sasa Mambo yako Wazi, Mambo yako Wazi.
Polepole Leo amekiri na Hivo MADAI YA LISSU DHIDI YA WIZI WA KURA kupitia Servers za Tume ni ya KWELI NA YANA MASHIKO NA CHADEMA WAKO SAHIHI 100% KUZUIA UCHAGUZI BILA MABADILIKO.
NIDA mmetukosea sana Watanzania.
INEC mmewakosea sana Watanzania .
TOKENI Hadharani kutuomba Radhi Watanzania.
Hakuna kubisha hapa, Aliyesema hayo ni MTU ,Mwanachama wa CCM, BALOZI, MTU aliwahi kufika Ngazi ya Juuu kabisa ya Chama Cha CCM, MTU wa Chamani, Hapa hamna Cha kusema aje athibitishe Wala nn, MTUOMBE MSAMAHA NA MUWAJIBIKE MARA MOJA KWA KUJIUDHULU !!.
Mmelihujumu Taifa letu
Polepole Leo amekiri na Hivo MADAI YA LISSU DHIDI YA WIZI WA KURA kupitia Servers za Tume ni ya KWELI NA YANA MASHIKO NA CHADEMA WAKO SAHIHI 100% KUZUIA UCHAGUZI BILA MABADILIKO.
NIDA mmetukosea sana Watanzania.
INEC mmewakosea sana Watanzania .
TOKENI Hadharani kutuomba Radhi Watanzania.
Hakuna kubisha hapa, Aliyesema hayo ni MTU ,Mwanachama wa CCM, BALOZI, MTU aliwahi kufika Ngazi ya Juuu kabisa ya Chama Cha CCM, MTU wa Chamani, Hapa hamna Cha kusema aje athibitishe Wala nn, MTUOMBE MSAMAHA NA MUWAJIBIKE MARA MOJA KWA KUJIUDHULU !!.
Mmelihujumu Taifa letu