Old is gold mkuu, mimi haya masofa ya Italy na China siyo zangu kabisa. Tukiwa wabufunifu vya kwetu ni bora.Kweli fasheni inakwenda na kurudi... Mara ya mwisho nakumbuka dizaini hii alikuwa nayo marehem Babu (Mwenyezi Mungu ampe makazi mema)
Ukifanikiwa kupata nitaarifu na mimi. Nzuri sana.View attachment 1103653
Cover ya juu iwe leather black or brown.
Hii style ya sofa zenye msambwanda ilinishinda.
1kush africa anashauri twende kwa Pierre Liquid na picha hapo juu.Ukifanikiwa kupata nitaarifu na mimi. Nzuri sana.
ngozi zinapatikana mkuu.... kama zinapatikana za kushonea kwenye magari basi hata za sofa zinapatikana...Ngozi nitapata wapi?
Mtembelee basi Pierre Liquid... inahitaji fundi mbunifu.1kush africa anashauri twende kwa Pierre Liquid na picha hapo juu.
Hao hao mafundi wanajua kila kitu, ongea nao tu vizuriNgozi nitapata wapi?
Hahahahaha ahahah,,,1kush africa anashauri twende kwa Pierre Liquid na picha hapo juu.
Hawa mafundi wenye majina wanaropoka bei,,, ila wale mafundi wetu wanaotafuta jina hawa bei za applewaone hawa watu urban furniture wako vzr mno kwenye sofa za kila aina hata hizo unazotaka wewe wako makumbusho 0717 434982
Ila usiende na usafiri wa miguu minne, au gari upaki mbali,,Wale wa Magereza Ukonga ni wazuri sana
Nakuunga mkono.Old is gold mkuu, mimi haya masofa ya Italy na China siyo zangu kabisa. Tukiwa wabufunifu vya kwetu ni bora.
Ngozi zipo tena imara. Hela yako tu.Ngozi nitapata wapi?
Sana tu. Ndiyo maana nimekomenti hapo juu kuwa ngozi zipo, hela zako you.Wale wa Magereza Ukonga ni wazuri sana