Ninamtunuku Freeman A. Mbowe nishani ya Rafidainian Order First Class, ROFC

Ninamtunuku Freeman A. Mbowe nishani ya Rafidainian Order First Class, ROFC

Mimi naamini kigogo anaefuata ni Dr. Bilal. Huyu anaifuta CCM Zanzibar! Tatizo amefichwa, ni lini ataachwa loose? It's a time bomb!
Tatizo ni kuwa kwa Cheo cha Bilal akiondoka kwa sasa sio kwamba ccm ndio imeyumba, Bali nchi nzima maana Bilal ni Rais on waiting. Nadhani walimshauri aache tuu muda uishe
 
Kama unijua hiyo demokrasia unalia nini watu wakimsifu Prof. Mbowe ni demokrasia pia.
Nilie nini? Nilie kwa ajili ya mwanasiasa? Tena hawa wa Bongo wachumia tumbo hawa? We vipi? Rudi kasome tena comment yangu ya awali. Surprise yangu ni ya kweli kwani nimezoea kuona angalau hao wawili niliowataja wakijipenyeza.
 
mbowe.jpg
mwizi tu maryenge huyu KIkishinda chadomo msishangae kucha za binadamu zikikamatwa Zurich toka TZ.
 
Mbowe is the BRILLIANT POLITICAL leader of our time...!!!

He can see very far, he has a vision and mission...!!!

Sasa watu ndio wanamuelewa kwann ALIMTIMUA Zitto... Sasa ndio watu wanajua Mbowe ni KIONGOZI wa mfano wa pekee..!!

Mungu amlinde milele huyu Mbowe...!!"
 
Huyu jamaa amepanga safu ya hatari ya kwenda kuwamaliza majambazi ccm,ameifananisha tim yake ya ushindi na barcelona tim ya mpira wa miguu.mfumo wake ni 4,5,1 huu mfumo,unashambulia kwa kasi kama umeme,huu mfumo una viungo makini sana,na wanauwezo wa kutoa pass za mwisho kama mvua,na bila shaka m2 wa kutupia atakua straiker mbaya kabisa namba 9 mgongon EL,viungo washambuliaji wa pembeni ni mbatia na dr.slaa wakati namba 10 yupo kamanda mbowe,huyu kazi zake ni nyingi pass za mwisho,mashoot ya mbali,kuotea.lakin mfumo huu ambao unamfanya lisu kuwa mchezaji huru like mess.wakati huo ulinzi anakabidhiwa sugu,sefu,makaid,na lembeli,hata goli la mkono hawaambulii.sumaye ni supa sub.mnyika ni mtu wa kuharibu pass za mwisho.golin yupo wenjena na mtu wa kucheza undava tunamwachia lema.
 
Watu wanapoteza uzito bila kupenda, anorexia. insomnia kwenda mbele......
 
Hongereni sana patam hapo. Jaman hiv Jenista mhagama yuko wapi ?? Mwenye taarifa atujuze
 
Hongereni sana patam hapo. Jaman hiv Jenista mhagama yuko wapi ?? Mwenye taarifa atujuze
 
Mbowe ni zaidi ya Mwenyekiti wa chama aisee hata yule jamaa aliyetaka kumpindua huyu jamaa awe yeye mwenyekiti sijui alikuwa na akili gani...
 
Hapana chezea hiyo kitu! Msimu huu jamaa upepo umewakalia vibaya xana kila safu wanayoipanga wanadream kushindwa tu. Ngoja kesho pale Jangwani wajionee TSUNAMI alafu wajilinganishe na mafuriko yao ya juzi yale.
 
Back
Top Bottom