Dr slaa alipojiuzuru nafasi yake ya katibu mkuu wa chadema, freeman mbowe hajatamka neno baya au tusi lolote kwa katibu wake wa zamani zaidi ya kumtakia safari njema.Alisema askari mmoja akiondoka vitani hausimamishi vita Bali unatakiwa kuendelea na mapambano, freeman nbowe alisema Dr slaa anayo nafasi tena akiamua kurudi kundini vile vile alitoa brief sababu za kutofautiana baina yao wawili hayo aliyasema karatu.Kauli ya mbowe inatofautiana na kauli ya jakaya kikwete kwenye uzinduzi wa kampeni ya ccm ,alisema wachawi wameondoka sasa wako huru hapo alikua akiwalenga lowassa na sumaye linganisha kauli za wenyeviti freeman mbowe wa chadema na jakaya kikwete wa ccm then ulinganishe kauli ya mwenyekiti mstaafu aliewaita malofa na wapumbavu..utapata jibu mbowe amekomaa kisiasa.