Ninamtunuku Freeman A. Mbowe nishani ya Rafidainian Order First Class, ROFC

Ninamtunuku Freeman A. Mbowe nishani ya Rafidainian Order First Class, ROFC

Ooooh hata mimi nimeanza kumwogopa huyu jamaa, hekima na busara zake panoja na nccr chairman zina kila dalili kutuingiza kanaan
 
Huyu jamaa anatisha nyie ana akil balaaa yaan mbowe ote ndao n shidaaaaaaa hamna mchaga ----
 
TETESI ni kuwa the next kigogo toka CCM ni mzee Joseph Butiku yuko njiani anakuja kuungana na upinzani kuindoa CCM yao!!

Kesho CCM wanazindua kampeni yao. Kesho kila mmoja ataipata picha ya vigogo wengine wanaokuja kuungana na upinzani kuisambaratisha CCM.

See you tomorrow!
 
kiukweli kama ukawa watashinda. mbowe na maalim seif watakuwa ni mashujaa wakubwa.
 
My Freeman mbowe nouma sanaaa mabadiliko tumepata October kumwapisha president Edward lowassa tujitokeze kwa wingu kumchinja hadui wetu Ccm na kumpa mh lowassa kura zote za uraisi nchi ee mungu tusaidie
 
Mbowe ni mwiba kwa CCM, ameweka msimamo wa kukomaa hakuna kulala hadi kieleweke - CCM lazima watoke madarakani...
 
Amefanya kazi nzuri akishirikiana na wenzake wanaounda UKAWA kwa pamoja.

Hongereni sana kwa kuleta uhai wa upinzani Tanzania.
 
niliwahi kumwangalia akiwa ana present nchi fulan huko ulaya,hadi nikasema yes,we can! jamaa ana confindence na english nzuri sana!
please kwa faida ya wengi tunaomba hiyo video hapa mkuu tupate madini ya huyu Gwiji la Siasa.
 
Back
Top Bottom