PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,182
Wapo waliosema chadema inaongozwa na akili ndogo, ati wao wana akili nyingi hivyo wanakwenda kuanzisha chama chao,
Sijui wamefia wapi, hata ubunge wataukosa mwaka huu
kaka kale kajamaa kalijiona kenyewe ni maarufu zaidi ya chama,kaka jaa kiburi na jeuri.
Sasa kanajuta sana maana kangepata shavu la kutosha kisiasa kangekuwa chadema leo,
sasa UKAWA iyooooooooo ikulu,