KIYOGOMA.1
New Member
- Jul 24, 2015
- 3
- 0
Hakuna kama mbowe hapa tz.
Huyu jamaa anatisha nyie ana akil balaaa yaan mbowe ote ndao n shidaaaaaaa hamna mchaga ----
ukawa toleo jipya haifai kupewa dhamana ya kuongoza taifa hili pendwa la jmt, ni genge la wahuni, wasaliti wa misingi yao, vigeugeu, wanafiki na wazandiki waliotukuka, watanzania hatupo tayari kuuza nchi yetu, tumeshasema kwa wingi kuwa hatutachagua ukawa toleo jipya.
mliotolewa ufahamu endeleeni na uzezeta wenu.
Labda nishani ya u DJ.
UKAWA TOLEO JIPYA HAIFAI KUPEWA DHAMANA YA KUONGOZA TAIFA HILI PENDWA LA JMT, NI GENGE LA WAHUNI, WASALITI WA MISINGI YAO, VIGEUGEU, WANAFIKI NA WAZANDIKI WALIOTUKUKA, watanzania hatupo tayari kuuza nchi yetu, TUMESHASEMA KWA WINGI KUWA HATUTACHAGUA UKAWA TOLEO JIPYA.
Mliotolewa ufahamu endeleeni na UZEZETA WENU.