malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
- Thread starter
- #21
Calibration nafanya kila wiki vipimo vyangu vinakua sawa kabisa..kwangu nikosa kumuibia mtejaKupiga shoti wateja kwenye mafuta aisee ni mbaya sana.
Fanya callibration ya pumps zako mara kwa mara kuepusha hili.
Pump attendants wawekee commission kulingana na litres wanazouza. Anzia hata lita moja wataongeza bidii.