Ninakosea wapi? Au biashara ni kipaji?

KiBiashara ukiwa mtu wa matumizi Sana, kupoteza Kwenye game ni dkk sifuri.

KiBiashara,
Unaweza ukawa unaingiza faida ya million kila sikU, kwa mwezi mzima mfulurizo ukagota 30 million profit.

Afu ghafla umepata bingo la mzigo wakusafisha stoo au haujalipiwa ushuru au mwenyewe anahama au kabadilisha biashara anauuza ROBO YA BEI, Anauza million 30 chap.

Na wee unaona kabisa huu mzgo, nikachukua unaleta million 120 chap.

Sasa
Kama bahat mbaya huna akiba ya mil 30 kuulipia Chap (wee faida ukipata unakulaga),
Unakua tayar umeshapishana na BINGO la fasta.

AU BAHAT MBAYA IMETOKEA,
Majanga yametokea (Moto,wezi,kesi n.k) inahitajika mil 30 ikutoke mfukoni chap uweze kuchomoka Kwenye msala, vingenvyo unatangazwa umefilisika.

Sasa Kama mwenzangu na mie,
Mzee wa kulaga faida, Inakua ndio baibai tunasahau kwenye GAME.

MFANYABISHARA UNAPASWA KUSPEND LOW as much as you can.

Biashara hazitabiriki,
Unaeza amka maskini, ukalala tajiri
Au ukaamka tajiri, ukalala maskini.

YOTE YANAWEZEKANA

Kuna mzee pale kkoo sokoni
Yeye mauzo alikuwa anachanganya anachukua mzigo juu ya mzigo

Hili janga la juzi la moto sijui limemuacha katika hali gani!!
 
Kuna mzee pale kkoo sokoni
Yeye mauzo alikuwa anachanganya anachukua mzigo juu ya mzigo

Hili janga la juzi la moto sijui limemuacha katika hali gani!!
Aisee hiyo ni hatar Sana, Nampa pole Sana
 
Mfanyakazi wa sheli mwenye mauzo ya million 6 kwa sikU (double ya mtaji wako),
Analipwa elfu 80 kwa mwezi, na posho ya elfu 5 kwa siku

Wewe mwenye mtaji wa million 3,
Unajitutumua unamlipa mshahara wa 100,000.

Mkuu nikwambie TU ukweli,
Ukishaingia Kwenye ujasiliamali lazima ujue kua bahili na usiwe na roho ya huruma kijinga jinga.

Unapaswa kulipa kutokana na unachoingiza, na Sio kuangalia sura Wala Roho mtakatifu.

Kwenye biashara hizi za kibepari,
Ukijifanya msamalia mwema, Unapotea Kwenye GAM
Kama Manara anakula 700k hawa wa viwandani si wanakula 10k
Mfanyakazi wa sheli mwenye mauzo ya million 6 kwa sikU (double ya mtaji wako),
Analipwa elfu 80 kwa mwezi, na posho ya elfu 5 kwa siku

Wewe mwenye mtaji wa million 3,
Unajitutumua unamlipa mshahara wa 100,000.

Mkuu nikwambie TU ukweli,
Ukishaingia Kwenye ujasiliamali lazima ujue kua bahili na usiwe na roho ya huruma kijinga jinga.

Unapaswa kulipa kutokana na unachoingiza, na Sio kuangalia sura Wala Roho mtakatifu.

Kwenye biashara hizi za kibepari,
Ukijifanya msamalia mwema, Unapotea Kwenye GAME faster.

Kaulizie mishahara anayolipa MO-Dewji kwenye biashara zake, afu utanipa majibu.
 
Kama ukitoa kila kitu kuanzia mshahara/matumizi yote unabakiwa na faida ya 80,000 to 100,000

sikushauri uache hiyo biashara hata kidogo,wewe kilio chako ni faida ndogo ila si kwamba hupati kbsa

wenza
Dah! Safi sana broo nimependa unavyompa moyo wa kupambana mdau! "Superb" ni wachache sana wa aina yako wengi wetu tumekuwa watu wa kukatishana tamaa. Nimejifunza jambo kubwa sana katika huu ujasiriamali.
 
Kwa mauzo ya elfu 15,
Hupaswi kuweka mfanyakazi, hapo Unapaswa kukomaa mwenyewe.

Na principle yangu always,

ILI BIASHARA ISIFE,
Sitakiwi kutumia zaidi ya 10% ya mauzo yangu yote kwa sikU.
Mf: nimeuza elfu 15,000, nalazimika kutumia Sio zaidi ya 1,500 kwa sikU.

Na

ILI BIASHARA IKUE HARAKA SANA,
Sitakiwi kutumia zaidi ya 10% ya faida yote niliyoingiza kwa siku.
Mf: nmeingiza faida ya 15,000 baada ya matumizi Yote ya sikU, sipaswi kutumia Zaid ya 1,500 kwa sikU.
Hii shule nimeichukua
 
Ukianzisha biashara kuna ulazima wa wewe mwenye biashara kuwa msimamizi mkuu kabla hujamwajiri mtu! Hii itakusaidia kupata picha kamili ya matumizi na mauzo kwa siku mpaka mwezi mzima!! Itakusaidia kujua range ya mauzo ikoje,, ila ukifungua biashara na kumwajiri mtu direct inakuwa ni rahisi yeye kukuibia maan hujui kabisa range ya mauzo!!
 
Mtaacha huyu mtu achanganyikiwe,
Ushauri anaopokea ni wa maamuzi magumu hata zaidi ya hicho anachopitia sasa...

Yaani kirahisi tuu unamwambia mtu Aache kazi??? Unajua waajiriwa wewee???

Suala la kuoa nalo, ni Suala la msingi lakini sio , eti oa leo kesho upate cheap labor....
Haya yote ni kweli na yana msaada ila ni mambo makubwa yanayohitaji maamuzi chini ya utulivu ila sio kwa shinikizo....

Kinyume na hapo mnataka miezi ijayo aje na mrejesho wa huzuni tena...

Mambo mengi sitofautiani na wadau humu....

Hio elf 80 sio mbaya, asiache hio biashara,

Vitu vya kuzingatia
Awe anaenda kukaa ofisini mwenyewe pale anapopata nafasi kwa ajili ya hesabu, tathmini na kupata Uhalisia wa mauzo,
Aongeze bidhaa mpya zinazoendana na bishara husika, mfano Card za harusi, Flash, mahitaji yote ya shule n.k

Anapoingiza mzigo mpya Awe na kumbukumbu ya kila kilichoingia na idadi, siku anaambiwa kitu flani kimeisha aanze kupiga hesabu ya kimoja baada ya kingine na kuangalia je kilichobaki na kilichoenda vinaendana je vinaleta usawa wa mahesabu ya jumla?

Kila pesa anayotumia/pewa au inayoingia kwenye matumizi yoyote afanye record...

Ashushe matumizi ya mfanyakazi (hapa sasa yawezekana ikawa tatizo, hivyo ikimlazimu abadili mfanyakazi maana aliyezoea 200k ukimshusha mpk 150k ndio anaweza akuibie)

Ukikaa mwenyewe ukaona kuna mauzo mazuri zaidi ya anayokuletea, Mpe mashart ya kiwango cha chini cha mauzo kwa WEEK, akishindwa Mpe notisi...

Kipindi ukikaa kazini wewe fanya tathmini ya matumizi ya umeme kwa WEEK fananisha na matumizi yake yeye kwa mda huo huo...
 
Mkuu hapo badili mfanyakazi na umlipe mshahara huo wa 50k, hiyo wa sàsa motoe tu.

Kamwe usiweke ndugu hapo mkuu... maana umesema uweke ndugu abanane na huyo mfanyakazi wa sàsa bampa to bampa, sasa huyo ndugu ndo atamshauri mfanyakazi wakuibie zaidi alafu kushokutwa utarudi hapa kuiuza stationary yako kwa sababu utayoiita (mapato hayaendani na ulivhowekeza).

Badili hiyo taka fasta hapo na usiweke ndugu tafadhali.
 
Kwa biashara inayoweza kulipa hivyo vitu kwa muda wote huo naamini kuna ziada zaidi inapatikana hapo ni vile wewe hujajua bado,haiwezekani mwaka wa kwanza mpaka wa tatu faida zifanane hiyo hali ipo planned na anayefanya hivyo ni huyo uliyemwamini.

Umesema anakaa mtu...right?em kabla hujawaza kuifunga vizia likizo moja shinda hapo asubuhi mpaka jioni utajua kama pana hasara au lah.
Broh usigombanishe watu una uhakika gani anaibiwa
Hapana mkuu,
Ndo maana nikatoa kwa mfumo wa asilimia, ili ujikadirie mwenyewe.

Kwa mtaji wa million 3,
Mtoa mada hakupaswa kuweka mfanayakazi wa kumlipa mshahara huo anaomlipa.

Angemuweka either mkewe au ndugu wanaeaminiana, au angekomaa mwenyewe.

Biashara yoyote changa na inayoanza na mtaji mdog, hua Sio vizuri Sana kuanzia Kwenye mikono ya watu Baki.

Mtoa mada alitakiwa akomae mwenyewe kwanza mpaka mtaji ukue ndo aweke mfanyakazi.

Kwa kinachoendelea,
Kamwe hawezi kupata faida, vinginevyo apambane aongeze bidhaa, mtaji na huduma ili apate mauzo kuanzia 1million kwa sikU.

Am speaking from experience,
Hiki kinachomkuta mtoa mada, kinanikumbusha kisa Cha rafki angu mmoja alifungua duka la dawa kwa mtaji wa million 5 kwa sababu inafaida kubwa na mzunguko anaona upo.

akamwajiri nesi na kumlipa laki@mwezi na posho ya 5,000 kila sikU.

Nilimuelekeza, akakaza Shingo.

Baada ya miaka 2 biashara ilishindwa kujiendesha na ikafa.

Nowdays,
Kafuata principle yangu, na Anabiashara ingine 3 na maisha yanaendelea vizur sana.
Umeongea kitaalam xnaa mkuu kuna wengine wanakimbilia kusema mfanya kazi ndio anaiba..binafsi kazi izo masuala ya location pia ni yanahusika..kama hauko karib na vyuo au taasis zinazitumia xna makaratasi bhc vumilia
 
Mfanyakazi wa sheli mwenye mauzo ya million 6 kwa sikU (double ya mtaji wako),
Analipwa elfu 80 kwa mwezi, na posho ya elfu 5 kwa siku

Wewe mwenye mtaji wa million 3,
Unajitutumua unamlipa mshahara wa 100,000.

Mkuu nikwambie TU ukweli,
Ukishaingia Kwenye ujasiliamali lazima ujue kua bahili na usiwe na roho ya huruma kijinga jinga.

Unapaswa kulipa kutokana na unachoingiza, na Sio kuangalia sura Wala Roho mtakatifu.

Kwenye biashara hizi za kibepari,
Ukijifanya msamalia mwema, Unapotea Kwenye GAME faster.

Kaulizie mishahara anayolipa MO-Dewji kwenye biashara zake, afu utanipa majibu.
Duh mkuu we ndo mjasiriamali... Ila kama sheli ndo mishahara yao hiyo .. si watakuwa wanagongwa sana?
 
Hiyo 80/100K unaipata baada ya kufanya haya yote?hiyo biashara ina muda gani?

Nijuavyo biashara kama bado ni changa hatutegemei profit iwe kubwa mapema so kama ni ya muda mfupi una nafasi ya kufanya vizuri bado,pia inawezekana hujajitosheleza bado kivifaa that's why unaona faida ni ndogo so cha kufanya weka nguvu zaidi pia ongeza M-pesa Tigopesa etc unaweza kwenda vizuri zaidi.
Uko sahihi.
Lakini kitu kingine ambacho nimegundua hapo matumizi ya uendeshaji ni makubwa mno ukilinganisha na faida itakayopatikana na itakuwa ni kutwanga maji kwenu labda kama hiyo stationery iko mjini kama Kkoo au Ilala au ndani ya chuo hapo sawa inaendana na hayo matumizi ila kama ni nje ya mji hiyo biashara hailipi.
Unaweza kumtafuta mchawi kumbe kuna mahesabu umeyakosea,watu wenye roho ya ujasiriamali anapoanza biashara kuna mawili either amuweke mke wake au akae yeye mwenyewe kuepuka matumizi.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
amsome jamaa gani sijakuelewa maana wengi ni wahanga wa biashara
Confidence ya kutia mtaj huja ukiwa tayar umesha cheza sana na biashara na idea ushazipractice ukaona zinatoa..hapo lazima uwe na confidence..na hyo inajengwa na kuanza biashara tuu no bla bla..unaanza unajikwaa unainuka..unajifunza.zunguka mitaan masokon angalia watu wanafanya nin.soma mazingira fata sheria za biashara zote zinataka nin...kama research fanya..anza mtaj mdogo..huku unakua..

Ndivyo kila mtu anaanza hvyo na watu wanatoboa...mim sasa hiv nna magol meng tu ya kutosha...nna confidence ya kuanzisha kitu..tatzo langu ni management tu ndo nahangaika nayo...so kama nilivyokwambia msome huyo jamaa..hata sis tulikua kama wew mwanzo
 
nilivyoelewa mm ni kua mauzo ni laki 4 hdi 4.5 kwa mwezi na matumizi kila kitu kwa mwezi ni laki 3 na kumi hapo vitu vinapungua sababu si vinauzwa kama wino karatasi pen daftari n.k sasa sijui kwa nn wanampigia hesab za faida ya elf 80 huyu jamaa anapata hasara sio faida na kuna wizi sana stationary wale watu ni wajanja sana pia wanaweza hata pata tenda za kadi za harusi na wasikwambie huyu kama anapata faida haizidi elf 30 kwa mwez
Sijaelewa hapo unamaanisha ukitoa pamoja na gharama za kununulia hizo stationaries zote unazoziuza au? lakini pia uwe unaweka akiba itakayo kusaidia ku fanya replacement ya hivyo vifaa, fotocopier pamoja na printer.maana zikichoka huwa matengenezo ni ghali sana
 
hapa ni mtaji wa milion 3 mauzo hayafoki elf 20.kwa siku hata muuza.nyanya mtaji wa laki 2 anauza zaidi ya elf 20.huyu hajajiongeza kwanza anatoa mshahara mkubwa pili posho acancel tatu kama ataweza afunge camera ofisini
Hapana mkuu,
Ndo maana nikatoa kwa mfumo wa asilimia, ili ujikadirie mwenyewe.

Kwa mtaji wa million 3,
Mtoa mada hakupaswa kuweka mfanayakazi wa kumlipa mshahara huo anaomlipa.

Angemuweka either mkewe au ndugu wanaeaminiana, au angekomaa mwenyewe.

Biashara yoyote changa na inayoanza na mtaji mdog, hua Sio vizuri Sana kuanzia Kwenye mikono ya watu Baki.

Mtoa mada alitakiwa akomae mwenyewe kwanza mpaka mtaji ukue ndo aweke mfanyakazi.

Kwa kinachoendelea,
Kamwe hawezi kupata faida, vinginevyo apambane aongeze bidhaa, mtaji na huduma ili apate mauzo kuanzia 1million kwa sikU.

Am speaking from experience,
Hiki kinachomkuta mtoa mada, kinanikumbusha kisa Cha rafki angu mmoja alifungua duka la dawa kwa mtaji wa million 5 kwa sababu inafaida kubwa na mzunguko anaona upo.

akamwajiri nesi na kumlipa laki@mwezi na posho ya 5,000 kila sikU.

Nilimuelekeza, akakaza Shingo.

Baada ya miaka 2 biashara ilishindwa kujiendesha na ikafa.

Nowdays,
Kafuata principle yangu, na Anabiashara ingine 3 na maisha yanaendelea vizur sana.
 
80000 sio faida kumbuka kauza na vitu vimepungua dukani kama wino pen daftar rim n.k hapa faida huenda ni elf 30 tu
Mil.3 kama bado unaitaka nikupe uniachie kama ilivyo halafu tutafutane ndani ya mwaka 1

utaona wapi ulikua unakosea,usiitamani ile mil.3 kama bado una nia umedhamiria Njoo PM

bado nakwambia usikate tamaa hiyo biashara iko vizuri mkuu bila kujali umewekeza kiasi gani

hata kama uliwekeza 10m na unapata faida hiyo 80k bado nasema hiyo biashara si yakuiacha asee

Narudia :
kama kweli bado ile nia yako ya kuiachia hiyo biashara unayo,karbu pm tuyajenge.
 
hii ni kweli mr wangu anahuruma mnooooo na hakuna anachofanikiwaga hadi sasa nimeacha kupartner nae ktk biashara sabab tunaelewana vizuri wafanyakaz wote wanaripot kwangu unakuta wakianza fanya madudu wananikimbia wanaripot kwake na anawasikiliza at tgw end hakuna ni hasara juu ya hasara nakumbuka kuna kipindi kawekeza sehemu zaidi ya mil 10 hajawahi kula hata elf 50 anakuwaga anawapa darasa ila waaapi msimamizi ndo kwanza akaoa na kuzaa kwa pesa zake haki ndo siku nilijivua kufanya nae biashara niliona nikizubaa nimekwisha mm na wanangu now ninachomshaur awekeze ktk nyumba za kupangisha tu biashara hawezi hana roho ya kijasusi kusimamia biashara.
Mfanyakazi wa sheli mwenye mauzo ya million 6 kwa sikU (double ya mtaji wako),
Analipwa elfu 80 kwa mwezi, na posho ya elfu 5 kwa siku

Wewe mwenye mtaji wa million 3,
Unajitutumua unamlipa mshahara wa 100,000.

Mkuu nikwambie TU ukweli,
Ukishaingia Kwenye ujasiliamali lazima ujue kua bahili na usiwe na roho ya huruma kijinga jinga.

Unapaswa kulipa kutokana na unachoingiza, na Sio kuangalia sura Wala Roho mtakatifu.

Kwenye biashara hizi za kibepari,
Ukijifanya msamalia mwema, Unapotea Kwenye GAME faster.

Kaulizie mishahara anayolipa MO-Dewji kwenye biashara zake, afu utanipa majibu.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom