Mtafiti77
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 1,843
- 2,272
Kwa wajuvi wa kuulamba jijini Dar es Salaam
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninahitaji mtaalamu wa kubuni na kushona nguo za kike na kiume. Awe mkali katika suti na mavazi mengine ya me na ke. Si lazima awe huyohuyo. Mmoja anaweza kuwa mtaalamu wa nguo za kike na mwingine za kiume au vyote.
Ninahitaji mtaalamu hasa tafadhali, awe na vitambaa vikali, the nimechoka kushonewa nguo kama viroba na kununua midosho ya dukani.
Shukrani
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninahitaji mtaalamu wa kubuni na kushona nguo za kike na kiume. Awe mkali katika suti na mavazi mengine ya me na ke. Si lazima awe huyohuyo. Mmoja anaweza kuwa mtaalamu wa nguo za kike na mwingine za kiume au vyote.
Ninahitaji mtaalamu hasa tafadhali, awe na vitambaa vikali, the nimechoka kushonewa nguo kama viroba na kununua midosho ya dukani.
Shukrani