Nicheck PM mara moja...Kuhusu kuuguza hakuna shida kiongozi huko wala hitajio sio pesa Huko hitajio ni Mwenyezi Mungu amponye tumepambana sana kwa miaka minne alikua anapata unafuu ila now naona hali imechange kabisa.
Hukute na mtoto ambae yupo tumboni sio wako, dah natania😁😁ila itabidi uwe mvumilivu mpaka mtoto atakapo fikisha umri wa kutoka kwa mama yake. Tho kuna exception mazingira ambayo unaweza mchukua mtoto akiwa chini ya umri wa miaka 7.lazima yawe mazingira hatarishi kwa mtoto, pambana.Nina sababu ya msingi na ya usiri kidogo kujibebisha ili nipate mtoto huyu nayemtarajia , kuhusu hilo sina namna ndio maana najibebisha, ila sasa linapokuja suala la kutaja kupelekwa pupa hivi ndio ninapochoka laiti ningeweka picha ya mama angu mzazi mkaona hapa hali aliokua nayo machozi yangewatoka, ila mwenzangu kaonesha mstuko mdogo sana sana kuhusu ugonjwa wa mama mkwe wake, Pesa sio tatizo nataka nijilipue kwa dizain hio akafie mbele nitachukua mwanangu na ninatka hio hela nikawakabidhi wazee wake na yeye akiwepo ili iwe funzo, nimemleta mkoa now miez minne, namhudumia, natuma ada ya mtoto mia mbili kila mwezi (200k) ikijumuisha na usafiri na mahitaji mengine, sasa limekuja suala hili baada ya kuona kahela flani kametiki kanasubir kuingia kwa akaunti tu , Nimeanza letewa orodha ndefu namna hii?.
Nitakapofanya haya mbele ya wazazi wake watapata fundisho pengine.
Nawewe unakuwa boya.
Ushaambiwa kimbia, wewe unalazimisha kumpa mtaji.
Mrudishe kwao, mwambie unajipanga. Mambo yako yakiwa vizuri utamrudisha. Akishaondoka ndo ntolee.
Matunzo ya mtoto utamtumia tigo pesa.
Nakuunga mkonoUsiwe fala iyo ela kamuuguzie mama yako yamkini hata iyo mimba si yako
Nina sababu ya msingi na ya usiri kidogo kujibebisha ili nipate mtoto huyu nayemtarajia , kuhusu hilo sina namna ndio maana najibebisha, ila sasa linapokuja suala la kutaja kupelekwa pupa hivi ndio ninapochoka laiti ningeweka picha ya mama angu mzazi mkaona hapa hali aliokua nayo machozi yangewatoka, ila mwenzangu kaonesha mstuko mdogo sana sana kuhusu ugonjwa wa mama mkwe wake, Pesa sio tatizo nataka nijilipue kwa dizain hio akafie mbele nitachukua mwanangu na ninatka hio hela nikawakabidhi wazee wake na yeye akiwepo ili iwe funzo, nimemleta mkoa now miez minne, namhudumia, natuma ada ya mtoto mia mbili kila mwezi (200k) ikijumuisha na usafiri na mahitaji mengine, sasa limekuja suala hili baada ya kuona kahela flani kametiki kanasubir kuingia kwa akaunti tu , Nimeanza letewa orodha ndefu namna hii?.
Nitakapofanya haya mbele ya wazazi wake watapata fundisho pengine.
Mama ake alishukuruu sanaa Yani toto ambalo lilikuwa lishakuwa mzigo kwake leo hii ana mimbaa...!! Kweli Mungu si Athuman..Kuna mchizi wangu job! Alitia mimba dem wa kichaga mwaka jana, lkn alikua ashaona hawawezi kukaa pamoja kwa sababu demu mzito sana kwenye mipango ya maisha. Yaani ni yule dem akija getto hawezi kugusa chombo aoshe au apike, yy akija anataka waagize chips kuku wacheki movie, na kumpa mtonyo wa kusuka, dem alikua kamaliza chuo mwaka huo huo. Maza ake alivyogundua dem anamimba, na aliyempa mimba ana ka kazi ka maana, akaanza kumsumbua mchizi aende kujitambulisha. Akapiga chenga sana hadi akaenda. Kufika wakapanga na mahari kabisa mil 2.
Dogo alipojifungua tarehe za mahari zikawa zishafika, jamaa akawa anatia kalenda, ooh hali mbaya, nivumilieni bado najipanga, hahaha: ilifikia hatua maza ake na dem kamtia dem kwenye gari kampigia simu jamaa kumtaarifu mkeo na mwanao Wanakuja huko mlee pamoja kama ni kujipanga mtajipanga mkiwa wote. Mkitaka kuleta mahari ni nyie.
Ko kiufupi hii mambo ya kujipanga inategemea na mtazamo wa wazazi wa dem. Vinginevyo mzigo utakomaaa nao hadi uchoke.
Nazidi pata mwangaza ila mimi nilitaka kumnawa siku hio hio ambayo yeye ndio anaona inafaa kama alivypanga ndio nitoe hio statement na nimpe pesa akafie mbele imagine iko hivi,.
Baba mkubwa anasema yeye awekewe laki tatu kwa bahasha yake, Mama laki tatu na vikorokoro kibao, kaka nae anatak laki 2 , Mzee anatamka kua lazima apate ngombe wawili wa kisasa wa maziwa na mengine mengi, ninaona bora nikae single sio kwa uoaji huu aisee
Na ndio point ilipo laiti angekua anaweza nisikiliza hio hela ningempatia akafanya mambo mengi yakiwemoL
Kosa linaweza lisiwe lake lakini familia anayotoka ndo kikwazo huwezi kuoa kwenye familia ya kijambazi kama hiyo
Rikiboy mdogo wangu unajua ni rahisi sana kufanya maamuzi kwa mtu lakin si kwako, ulichosema ni sahihi, Mtizamo wangu nilimpa mapema kua kwa kua hakuna alijuae la kesho, kwanza nimtafutie uhakika wa matibabu endapo maradhi yatampata meanz bima ya afya, na ili hii ipatikane nikamwambia nj inshu ya kutengeneza cheti cha ndoa tu ya kiserikali nipate kumuingiza kwenye ndoa .Fala huyoo aache ujinga awapange ndugu zake
Mdogo wetu hapo huna mwanamke,kama wadau wanavyosema inawezekana hata huo ujauzito sio wako.Ushauri fanya hivi simamisha kila kitu kwa sasa ikiwemo kutoa mahari na kumpa hio m4 unayotaka kumpa akijifungua jiridhishe kwanza huyo ni mtoto wako?ukishaji ridhisha ni mwanao mpe mtaji wa kumhudumia mtoto vitu vidogo vidogo.Hio familia sio na usikute hao watu wametengenezwa na huyo mwanamme kukutoa fedha.Nina sababu ya msingi na ya usiri kidogo kujibebisha ili nipate mtoto huyu nayemtarajia , kuhusu hilo sina namna ndio maana najibebisha, ila sasa linapokuja suala la kutaja kupelekwa pupa hivi ndio ninapochoka laiti ningeweka picha ya mama angu mzazi mkaona hapa hali aliokua nayo machozi yangewatoka, ila mwenzangu kaonesha mstuko mdogo sana sana kuhusu ugonjwa wa mama mkwe wake, Pesa sio tatizo nataka nijilipue kwa dizain hio akafie mbele nitachukua mwanangu na ninatka hio hela nikawakabidhi wazee wake na yeye akiwepo ili iwe funzo, nimemleta mkoa now miez minne, namhudumia, natuma ada ya mtoto mia mbili kila mwezi (200k) ikijumuisha na usafiri na mahitaji mengine, sasa limekuja suala hili baada ya kuona kahela flani kametiki kanasubir kuingia kwa akaunti tu , Nimeanza letewa orodha ndefu namna hii?.
Nitakapofanya haya mbele ya wazazi wake watapata fundisho pengine.
Mimi naona hii idea yako ndo nzuri zaidi,zaidi ya chochote maana hapa utakuwa umeshaepuka kelele za ustawi wa jamii na blah blah blah gani sijui.Nazidi pata mwangaza ila mimi nilitaka kumnawa siku hio hio ambayo yeye ndio anaona inafaa kama alivypanga ndio nitoe hio statement na nimpe pesa akafie mbele imagine iko hivi,.
Baba mkubwa anasema yeye awekewe laki tatu kwa bahasha yake, Mama laki tatu na vikorokoro kibao, kaka nae anatak laki 2 , Mzee anatamka kua lazima apate ngombe wawili wa kisasa wa maziwa na mengine mengi, ninaona bora nikae single sio kwa uoaji huu aisee
Wewe kweli humpendi, umpe una ela ya kumpa zaidi ya milion 4 halafu kulipa mahari ya milion 2 unalalamika?
We sema ukweli ni kwamba tu kuna wenzako wamekujaza maneno usioe single mother na unataka kimbia majukumu ya kulea mtoto uliyemkuta naye sasa nawe umemuongezea tena mzigo wa kuwa double single mother sijui unataka sasa mbeleni aje amuoe nani.
Kuhusu kuuguza hakuna shida kiongozi huko wala hitajio sio pesa Huko hitajio ni Mwenyezi Mungu amponye tumepambana sana kwa miaka minne alikua anapata unafuu ila now naona hali imechange kabisa.
Yuko kwenye usimamizi mzuri kiongozi tumekaa hospital zote bongo na kujirizisha kwa kile anachosumbuliwa nacho, ila imagine mtu aliekuleta dunian anasikia kua dogo umetoa posa /mahari ilhali yeye yuko hoi huu ni umaku, nimetiwa kidole matakon na kuambiwa ninuse nimekubali na kwa kua nishajua kua kuna nuka acha nichambe mavi haya maisha yaende, huruma zangu za kisukuma zitaniponza nisipokaza pu mbMbona kama Mmemkatia tamaa bi mkubwa?