Ninaangalia bunge live TBC ila viti vingi havina wabunge

Mbute na chai

JF-Expert Member
Jul 21, 2012
537
535
Ninaangalia bunge live TBC ila viti vingi havina wabunge. Hii imekaaje? Mh. Naibu spika anauliza kama hoja imeungwa mkono na jibu ni ndiyo kwa idadi hii!!

Je, tunahitaji kubadili sheria ili vikao muhimu kama hivi vya kibajeti visifanyike kama asilimia zaidi ya 50 ya wabunge hawapo? Nini maoni yako?
 
Ninaangalia bunge live TBC ila viti vingi havina wabunge. Hii imekaaje? Mh. Naibu spika anauliza kama hoja imeungwa mkono na jibu ni ndiyo kwa idadi hii!!

Je, tunahitaji kubadili sheria ili vikao muhimu kama hivi vya kibajeti visifanyike kama asilimia zaidi ya 50 ya wabunge hawapo? Nini maoni yako?



Wabunge wanaumwa mkuu - unaweza usielewe hili jambo Ila Afya imekuwa shida Sana kwa wenzetu.


So wanahangaika kwa matibabu I speak from experience.


NB wapo wajanja Ila most of them wanaumwa .

Fatilia.
 
Wabunge wanaumwa mkuu - unaweza usielewe hili jambo Ila Afya imekuwa shida Sana kwa wenzetu.


So wanahangaika kwa matibabu I speak from experience.


NB wapo wajanja Ila most of them wanaumwa .

Fatilia.
Mfumo wa maish yao ni mbaya kama wafanyakazi wa TPA , hivi sasa TPA kuna gym walikuwa wazee wa kuzunguka kweny magari na kukaa ofisi hamna mazoezi wala mapumziko.
 
Nadhani kuna nguvu kubwa kuishi maisha ya usafi

Kujitenga na uzinzi
Kula na kutumia vya halali.

Ukikaa hapo bungeni -MTU Ana hela Ila anaishi maisha magumu Sana kila chakula hakiliki kwake.
 
Mfumo wa maish yao ni mbaya kama wafanyakazi wa TPA , hivi sasa TPA kuna gym walikuwa wazee wa kuzunguka kweny magari na kukaa ofisi hamna mazoezi wala mapumziko.


Eee kweli pia na karma zinawasumbua wizi unawatesa Sana .

MTU anawekeza katika kuiba hela anakunywa pombe na uzinzi ile akishtuka anakuta mwili haufanyi tena kazi.
 
Ninaangalia bunge live TBC ila viti vingi havina wabunge. Hii imekaaje? Mh. Naibu spika anauliza kama hoja imeungwa mkono na jibu ni ndiyo kwa idadi hii!!

Je, tunahitaji kubadili sheria ili vikao muhimu kama hivi vya kibajeti visifanyike kama asilimia zaidi ya 50 ya wabunge hawapo? Nini maoni yako?
Ubunge isiwe KAZI ya malipo ya mapesa meengi kama ilivyo sasa,Bali KAZI ya kizalendo TU na wachahce wataikimbilia!

Humor bungeni wengi wao wameenda kutafuta maisha kupitia ubunge coz ndio unalipa sana!!

Hata wakitoroka wanajua malipo yapo pale pale!!

Ubunge ni mzigo mkubwa sana Kwa taifa na serikali!mzigo mkubwa wa kulipa wabunge kuliko kuwaletea wananchi maendeleo!!
 
Ninaangalia bunge live TBC ila viti vingi havina wabunge. Hii imekaaje? Mh. Naibu spika anauliza kama hoja imeungwa mkono na jibu ni ndiyo kwa idadi hii!!

Je, tunahitaji kubadili sheria ili vikao muhimu kama hivi vya kibajeti visifanyike kama asilimia zaidi ya 50 ya wabunge hawapo? Nini maoni yako?
Picha iko wapi
 
Ubunge isiwe KAZI ya malipo ya mapesa meengi kama ilivyo sasa,Bali KAZI ya kizalendo TU na wachahce wataikimbilia!

Humor bungeni wengi wao wameenda kutafuta maisha kupitia ubunge coz ndio unalipa sana!!

Hata wakitoroka wanajua malipo yapo pale pale!!

Ubunge ni mzigo mkubwa sana Kwa taifa na serikali!mzigo mkubwa wa kulipa wabunge kuliko kuwaletea wananchi maendeleo!!


Kweli kabisa.
 
Hivyo ndivyo ilivyo Duniani Kote Wabunge wanakuja pale wanapokuwa na sababu za kuhudhuria siyo kila siku

Tofauti ni kwamba Wabunge wa Tanganyika wanalipwa Posho za Kukaa Bungeni hata kama hawajahudhuria
 
Wabunge wanaumwa mkuu - unaweza usielewe hili jambo Ila Afya imekuwa shida Sana kwa wenzetu.


So wanahangaika kwa matibabu I speak from experience.


NB wapo wajanja Ila most of them wanaumwa .

Fatilia.
Hili ni tatizo sugu sasa, vikao vingi vya Bunge siku hizi mahudhurio ya wabunge ni hafifu mno, sidhani hata kama huwa wanafika 30%, na ni kama imeshaonekana ni kitu cha kawaida. Najiuliza hao wote huwa wanakuwa na dharura? Na je, wote wanakuwa wametoa taarifa kwa Spika? Je, kwa siku husika hawalipwi posho ya kikao?
 
Hivyo ndivyo ilivyo Duniani Kote Wabunge wanakuja pale wanapokuwa na sababu za kuhudhuria siyo kila siku

Tofauti ni kwamba Wabunge wa Tanganyika wanalipwa Posho za Kukaa Bungeni hata kama hawajahudhuria
Na hiyo sababu ya kuhudhuria inakuwa ni ipi? Na, je anapokuwa hayupo bungeni muda ambao Bunge linaendelea anakuwa wapi?
 
Kwahiyo nani anayepaswa kuwepo kila siku?
Awepo kila siku anafanya nini?

Ndio sababu kuna wabunge wa Viti maalumu wale Ndio kazi yao kukaa bungeni, kula pipi na kupigia makofi Wabunge wanaowakilisha wananchi

Hii siyo Nchi ya kijamaa hivyo Wabunge wanakuja Wakati wa kupitisha Sheria na mambo muhimu au kama Mbunge ana maswali kwa Serikali
 
Kama wenyewe wahusika hawapo tena wakiwa na uhakika wa malipo wewe mkuu kwanini unapoteza muda wako kuangalia hicho kituko ili hali hauingizi chochote tena tozo walizozipitisha hao jamaa ambao hawapo zikikusubiria uzilipe!?

Acha kupoteza muda wako mkuu
 
Back
Top Bottom