Nina Wazo: Watanzania tuujenge Mnara wa kuwakumbuka Wapigania haki wa 29 Oktoba 2025

Nina Wazo: Watanzania tuujenge Mnara wa kuwakumbuka Wapigania haki wa 29 Oktoba 2025

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,662
Reaction score
59,099
Ninataka kuona Mnara kuwakumbuka Wapigania haki wa 29 Oktoba 2025.
Screenshot_20260209_185042_ChatGPT.jpg

Watu wengi wamekufa wengi wamepotezwa.

Majina yao yatakuwa hadharani.

Nimemuandikia Barua Waziri wa Vijana ila bado hajajibu Barua.

Nimemuomba hela zinazotengwa kwaajili ya kuwawezesha Vijana, kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027, itengwe hela ya kujenga Mnara Jijini Dar.

Nimependekeza Mnara Ujengwe Kimara, Ubungo au Magomeni.

Wana Jamiiforums, nini kifanyike ili kufanikisha hili? Au tuwaombe wanasiasa Watusaidie?

Naomba mawazo yenu ya Kujenga Mnara. Nifanyeje ili kufanikisha?

Ubungo Mnara utajengwa pale kwenye kituo cha Polisi External aau Karibu na Tanesco au njia ua kwenda chuo Kikuu Mlimani.
Screenshot_20260209_185059_ChatGPT.jpg

Lengo ni kuwakumbuka wale wote waliokufa kwa tabu bila hata matibu sababu ni wengi hawana hesabu.

Polisi hiki kikombe ni chenu. Hamtakiepuka...

Samia toa hela tujenge mnara wa kumbukumbu ya 29 Oktoba 2025
 
Ninataka kuona Mnara kuwakumbuka Wapigania haki wa 29 Oktoba 2025.

Watu wengi wamekufa wengi wamepotezwa.

Majina yao yatakuwa hadharani.

Nimemuandikia Barua Waziri wa Vijana ila bado hajajibu Barua.

Nimemuomba hela zinazotengwa kwaajili ya kuwawezesha Vijana, kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027, itengwe hela ya kujenga Mnara Jijini Dar.

Nimependekeza Mnara Ujengwe Kimara, Ubungo au Magomeni.

Wana Jamiiforums, nini kifanyike ili kufanikisha hili? Au tuwaombe wanasiasa Watusaidie?

Naomba mawazo yenu ya Kujenga Mnara. Nifanyeje ili kufanikisha?

Ubungo Mnara utajengwa pale kwenye kituo cha Polisi External aau Karibu na Tanesco au njia ua kwenda chuo Kikuu Mlimani.

Lengo ni kuwakumbuka wale wote waliokufa kwa tabu bila hata matibu sababu ni wengi hawana hesabu.

Polisi hiki kikombe ni chenu. Hamtakiepuka...

Samia toa hela tujenge mnara wa kumbukumbu ya 29 Oktoba 2025
Dili tayr
 
Kwenye u
Ninataka kuona Mnara kuwakumbuka Wapigania haki wa 29 Oktoba 2025.

Watu wengi wamekufa wengi wamepotezwa.

Majina yao yatakuwa hadharani.

Nimemuandikia Barua Waziri wa Vijana ila bado hajajibu Barua.

Nimemuomba hela zinazotengwa kwaajili ya kuwawezesha Vijana, kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027, itengwe hela ya kujenga Mnara Jijini Dar.

Nimependekeza Mnara Ujengwe Kimara, Ubungo au Magomeni.

Wana Jamiiforums, nini kifanyike ili kufanikisha hili? Au tuwaombe wanasiasa Watusaidie?

Naomba mawazo yenu ya Kujenga Mnara. Nifanyeje ili kufanikisha?

Ubungo Mnara utajengwa pale kwenye kituo cha Polisi External aau Karibu na Tanesco au njia ua kwenda chuo Kikuu Mlimani.

Lengo ni kuwakumbuka wale wote waliokufa kwa tabu bila hata matibu sababu ni wengi hawana hesabu.

Polisi hiki kikombe ni chenu. Hamtakiepuka...

Samia toa hela tujenge mnara wa kumbukumbu ya 29 Oktoba 2025

Ninataka kuona Mnara kuwakumbuka Wapigania haki wa 29 Oktoba 2025.

Watu wengi wamekufa wengi wamepotezwa.

Majina yao yatakuwa hadharani.

Nimemuandikia Barua Waziri wa Vijana ila bado hajajibu Barua.

Nimemuomba hela zinazotengwa kwaajili ya kuwawezesha Vijana, kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027, itengwe hela ya kujenga Mnara Jijini Dar.

Nimependekeza Mnara Ujengwe Kimara, Ubungo au Magomeni.

Wana Jamiiforums, nini kifanyike ili kufanikisha hili? Au tuwaombe wanasiasa Watusaidie?

Naomba mawazo yenu ya Kujenga Mnara. Nifanyeje ili kufanikisha?

Ubungo Mnara utajengwa pale kwenye kituo cha Polisi External aau Karibu na Tanesco au njia ua kwenda chuo Kikuu Mlimani.

Lengo ni kuwakumbuka wale wote waliokufa kwa tabu bila hata matibu sababu ni wengi hawana hesabu.

Polisi hiki kikombe ni chenu. Hamtakiepuka...

Samia toa hela tujenge mnara wa kumbukumbu ya 29 Oktoba 2025
Next to impossible kwenye utawala huu! Labda ujengwe pale makao Makuu ya chadema, then huko mbele uhamishiwe sehemu ulizozitaje by building a replica of that!
 
Ninataka kuona Mnara kuwakumbuka Wapigania haki wa 29 Oktoba 2025.

Watu wengi wamekufa wengi wamepotezwa.

Majina yao yatakuwa hadharani.

Nimemuandikia Barua Waziri wa Vijana ila bado hajajibu Barua.

Nimemuomba hela zinazotengwa kwaajili ya kuwawezesha Vijana, kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027, itengwe hela ya kujenga Mnara Jijini Dar.

Nimependekeza Mnara Ujengwe Kimara, Ubungo au Magomeni.

Wana Jamiiforums, nini kifanyike ili kufanikisha hili? Au tuwaombe wanasiasa Watusaidie?

Naomba mawazo yenu ya Kujenga Mnara. Nifanyeje ili kufanikisha?

Ubungo Mnara utajengwa pale kwenye kituo cha Polisi External aau Karibu na Tanesco au njia ua kwenda chuo Kikuu Mlimani.

Lengo ni kuwakumbuka wale wote waliokufa kwa tabu bila hata matibu sababu ni wengi hawana hesabu.

Polisi hiki kikombe ni chenu. Hamtakiepuka...

Samia toa hela tujenge mnara wa kumbukumbu ya 29 Oktoba 2025
ni idea useless na nonsense magaidi na mamaluki wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kupewa tension :NoGodNo:
 
Hawa watawala dhalimu hawawezi kuruhusu hilo lifanyike,watatuma hata vibaka wao wauvunje vunje huo mnara
 
Hilo wazo lipo ila kwasasa sio wakati sahihi tuvute subra kidogo tumalizane nao kwanza hawa wauaji
Hawa washajua wanaondoka.. Leo kuna sehemu nimemsikie yule mwanamke wa Kizanzibari akisema keshokutwa atakuwa hayupo. Mdomo unaaumba.. Hii inamanisha kashajua hadumu
 
Mawazo yako si mabaya wala hayana chembechembe za ujinga, nafikiri kwa maoni yangu hilo ni jambo lisilo wezekana kimtazamo, kwa sababu watu hao unaohitaji wajenge mnara kuwakumbuka hao mashujaa, ndiyo haohao waliohusika na kuwaondosha hao mashujaa, ni sawa na jaji kumuambia mnyang'any'i "Jihukumu wewe mwenyewe.'' Ni jambo lisilowezekana kutendeka.
 
Ndugu yangu Bwana Tumbotumbo kwani muuaji ni naan?
magaidi popote ulimwenguni haki yao ni ku R.I.P tu, hakuna kingine gentleman :NoGodNo:

ideas nonsense kama izo ni porojo za kupoteza wakati tu
 
Hawa washajua wanaondoka.. Leo kuna sehemu nimemsikie yule mwanamke wa Kizanzibari akisema keshokutwa atakuwa hayupo. Mdomo unaaumba.. Hii inamanisha kashajua hadumu
Kuna ndoto huwa zinaogopesha sana😀
 
Back
Top Bottom