Wewe na hao mademu wote njooni muwe mademu zangu
Na ameingia na kasi kweli.... Atamaliza shule kweli huyu??First year kwenye ubora wako..
.... Daaah. Inasikitisha sanaInasikitisha sana kuwa na wapenzi wawili kwa wakati mmoja siyo shida ila shida ni jinsi ya kuwaleta gheto, wanaume wanazidi kupungua.
🤣🤣🤣nimeishia hapo ulipoandika RAKINI...pumbafuu utasapu course 7
Sasa kwa nini umeamua kuharibu resources za wazazai wako kwa uasherati.jaribu tu kukumbuka wanavyostrugle kukutafutia hela ili wewe usome.halafu mwenyewe unafanyia umalaya. sawa kweli ?NDUGU zangu, Mimi Ni kijana wa miaka 22... Nasoma chuo Fulani hapa dar es salaam.
Nina msichana (demu) zaidi ya mmoja ninao kwenye mahusiano kwa muda tu bila ya wao kujua..
Tatizo Ni kwamba wao huwa wanataka kuja ghetoni kwangu kushinda na kulala...
Rakini Mimi naogopa Sana... Naona Kama Ni utomvu wa Nidhamu nyumba nilipanga...
Pia naona Kama jamii itanichukulia vibaya Sana .. ukizingatia naishi nao Kama ndugu hasa mama mwenye nyumba ....
Naombeni ushauri ndugu zangu! Kuna mmoja hapa anataka kuniacha kisa, sitaki aje geto..
Ahsante
Ndugu yangu! Sawa ... Sasa hisia zangu unataka nipeleke wapi??Sasa kwa nini umeamua kuharibu resources za wazazai wako kwa uasherati.jaribu tu kukumbuka wanavyostrugle kukutafutia hela ili wewe usome.halafu mwenyewe unafanyia umalaya. sawa kweli ?
DahNDUGU zangu, Mimi Ni kijana wa miaka 22... Nasoma chuo Fulani hapa dar es salaam.
Nina msichana (demu) zaidi ya mmoja ninao kwenye mahusiano kwa muda tu bila ya wao kujua..
Tatizo Ni kwamba wao huwa wanataka kuja ghetoni kwangu kushinda na kulala...
Rakini Mimi naogopa Sana... Naona Kama Ni utomvu wa Nidhamu nyumba nilipanga...
Pia naona Kama jamii itanichukulia vibaya Sana .. ukizingatia naishi nao Kama ndugu hasa mama mwenye nyumba ....
Naombeni ushauri ndugu zangu! Kuna mmoja hapa anataka kuniacha kisa, sitaki aje geto..
Ahsante
SawaKijana, ebu nigawie mimi huyo mmoja
Ndugu yangu! Sawa ... Sasa hisia zangu unataka nipeleke wapi??
Sex Ni Basic need kwa kijana.
Umaskini mwingine mnajitakia tu wenyewe, anyway kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupangaNDUGU zangu, Mimi Ni kijana wa miaka 22... Nasoma chuo Fulani hapa dar es salaam.
Nina msichana (demu) zaidi ya mmoja ninao kwenye mahusiano kwa muda tu bila ya wao kujua..
Tatizo Ni kwamba wao huwa wanataka kuja ghetoni kwangu kushinda na kulala...
Rakini Mimi naogopa Sana... Naona Kama Ni utomvu wa Nidhamu nyumba nilipanga...
Pia naona Kama jamii itanichukulia vibaya Sana .. ukizingatia naishi nao Kama ndugu hasa mama mwenye nyumba ....
Naombeni ushauri ndugu zangu! Kuna mmoja hapa anataka kuniacha kisa, sitaki aje geto..
Ahsante