Mr kkk keep
Member
- Jan 6, 2022
- 13
- 13
NDUGU zangu, Mimi Ni kijana wa miaka 22... Nasoma chuo Fulani hapa Dar es salaam.
Nina msichana (demu) zaidi ya mmoja ninao kwenye mahusiano kwa muda tu bila ya wao kujua..
Tatizo Ni kwamba wao huwa wanataka kuja ghetoni kwangu kushinda na kulala...
Rakini Mimi naogopa Sana... Naona Kama Ni utomvu wa Nidhamu nyumba nilipanga...
Pia naona Kama jamii itanichukulia vibaya Sana .. ukizingatia naishi nao Kama ndugu hasa mama mwenye nyumba ....
Naombeni ushauri ndugu zangu! Kuna mmoja hapa anataka kuniacha kisa, sitaki aje geto..
Ahsante
Nina msichana (demu) zaidi ya mmoja ninao kwenye mahusiano kwa muda tu bila ya wao kujua..
Tatizo Ni kwamba wao huwa wanataka kuja ghetoni kwangu kushinda na kulala...
Rakini Mimi naogopa Sana... Naona Kama Ni utomvu wa Nidhamu nyumba nilipanga...
Pia naona Kama jamii itanichukulia vibaya Sana .. ukizingatia naishi nao Kama ndugu hasa mama mwenye nyumba ....
Naombeni ushauri ndugu zangu! Kuna mmoja hapa anataka kuniacha kisa, sitaki aje geto..
Ahsante