Napitia changamoto kazi mpya

willy ze great

JF-Expert Member
Apr 30, 2013
1,026
1,179
Ndugu zangu naombeni ushauri hata mwezi sina kazin ila niliowakuta kazini tumetokea kutofautiana kimtazamo na maono sasa imekua kama vita kazini kila kazi wanataka mimi nifanye eti kisa mimi ni Engineer.

Kazi nilipata kwa interview nikaambiwa mafundi wapo wazoefu tu ila hawana plan ya kazi so boss alitaka nikaongeze kitu kazini kwake maana mashine zinasumbua sana kazi haiendi waliopo ni wazoefu tu miaka hata 30 inafika kwemye ufundi.

Mimi nina miaka 4 ufundi sasa imekua vita sio kazi tena naona siwezi kuservive hata miezi 6.

Nimeajiliwa kama engineer plan nazowapa wanaona kama nawadharua sasa ni live live kabisa utasikia unanidharau hapa nafikiria nimalize mwezi nitembee zangu. Naombeni ushauri
 
Kwani hapo kazini wewe ulitakiwa ufanye nini na wao wafanye nini

Tumia AKILI yako yakisomi kama mtu aliye ELIMIKA kutatua hiyo changamoto ndogo....

Ulikwenda shule kujifunza namba na jinsi yakutatua changamoto zako zinazokuzunguka na hii ikiwa ni moja wapo ijapokuwa haiko katika eneo ulilolisomea
 
Ndugu zangu naombeni ushauri hata mwezi sina kazin ila niliowakuta kazini tumetokea kutofautiana kimtazamo na maono sasa imekua kama vita kazini kila kazi wanataka mimi nifanye eti kisa mimi ni Engineer.

Kazi nilipata kwa interview nikaambiwa mafundi wapo wazoefu tu ila hawana plan ya kazi so boss alitaka nikaongeze kitu kazini kwake maana mashine zinasumbua sana kazi haiendi waliopo ni wazoefu tu miaka hata 30 inafika kwemye ufundi.

Mimi nina miaka 4 ufundi sasa imekua vita sio kazi tena naona siwezi kuservive hata miezi 6.

Nimeajiliwa kama engineer plan nazowapa wanaona kama nawadharua sasa ni live live kabisa utasikia unanidharau hapa nafikiria nimalize mwezi nitembee zangu. Naombeni ushauri
Hao wote wenye uzoefu wa miaka 30 ilihali Bossy wao anawaona hawana ubunifu ujue ni wachawi! Wanaishi kwa kuwawangia wasomi wakimbie ili wao wabaki! Kila sehemu mairizi! Kama huna Mungu anayetenda kazi basi kwishnei laaah sivyo kimbia! Dini mbele ya uchawi hufui dafu! Najua utakuwa na dini lakini Mingu huna!
 
Ndugu zangu naombeni ushauri hata mwezi sina kazin ila niliowakuta kazini tumetokea kutofautiana kimtazamo na maono sasa imekua kama vita kazini kila kazi wanataka mimi nifanye eti kisa mimi ni Engineer.

Kazi nilipata kwa interview nikaambiwa mafundi wapo wazoefu tu ila hawana plan ya kazi so boss alitaka nikaongeze kitu kazini kwake maana mashine zinasumbua sana kazi haiendi waliopo ni wazoefu tu miaka hata 30 inafika kwemye ufundi.

Mimi nina miaka 4 ufundi sasa imekua vita sio kazi tena naona siwezi kuservive hata miezi 6.

Nimeajiliwa kama engineer plan nazowapa wanaona kama nawadharua sasa ni live live kabisa utasikia unanidharau hapa nafikiria nimalize mwezi nitembee zangu. Naombeni ushauri
NEVER OUTSHINE YOUR BOSS

CHANGAMOTO katika kazi mpya zinatokana na sababu mbalimbali,miongoni mwazo ni kutoyajua na kuyatekeleza vema majukumu ya kazi.

Pili ni KUYATEKELEZA,kwa njia ya kutaka wengine waonekane si lolote si chochote,inaeza kuwa kwa matumizi ya misamiati ya kitaaluma zaidi,Au kuamini kila kitu bila weye hakikamiliki.

NINI CHA KUFANYA

Jipe muda na usiogope kushuka kwa lengo la kuisoma tena taasisi na watu ilonao.

Tambua uzoefu wao haukuhusu ,Bali shughulika tu na yale ambayo yatakua na manufaa nawe.

Tafuta mmoja mwenye walau muelekeo wa kukusikiliza na kuwa tayari kujifunza toka kwake.


Matatizo yanapishana katika sehemu yeyote kwenye kupata ugali au fedha.Hivyo ni vema kutafuta mbinu za kukabiliana na tatizo kuliko kuamini kulikimbia ndio suluhisho.

Mwisho,JICHUNGUZE zaidi tabia zako hasa MBINU unazotumia KUWASILIANA na wenzako.
Wakati mwingine tunayoshuhudia ni matokeo ya namna tunavofanya kwa wenzetu au yale yaliyotutokea maishani.

Hivyo ukijitazama kwa makini utagundua uenda nawe una mchango mkubwa juu ya yanokutokea.

Karibu pm kwa ushauri na mazungumzo zaidi.
 
Usiache kazi kabla hujapata kazi ndugu yangu.Maisha ya kua jobless ni mabaya na yanatesa usiombe.Fanya majukum yako uliyopangiwa.Ukiacha utakua umewapa hao watu ushindi.Makazini changamoto hua hazikosekani.

Nipo jobless nataman nipate kazi japo ya kutuwezesha kula na familia.KAZI NI MBAYA UKIWA NAYO,UKIWA HAUNA UTAIKUMBUKA.
 
Back
Top Bottom