Nina ugomvi mkubwa na dada Yangu..nitumie njia Gani kuleta amani?

Nina ugomvi mkubwa na dada Yangu..nitumie njia Gani kuleta amani?

Mr Beach Boy

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,702
Reaction score
5,115
Niligombana na dada Yangu miaka ya 2018..kwa sababu mbalimbali zikiwemo utoto wangu kwa wakati ule na weekness zake.

Sasa ni miaka Mingi imepita hatuongea hata nikijaribu kumtafuta napokea matusi TU ya nguoni..

Mama hana la kusema kwasababu ameshasema sana juu ya hili lakini naona ni changamoto hakuna solution

Je nitumie njia Gani kuleta amani na dada Yangu. Natamani tuwe na amani ili kujenga uhusiano mzuri wa kifamilia ila mwenzangu naona hasahau
Naombeni ushauri
 
Funga safari mfuate kwake, nenda na zawadi.

Ikifika msiongee ugomvi kabisa, mwambie umeenda kumsalimia na familia,

Usikae saana, nusu saa inatosha ondoka.

Then vuta subira, Baada ya miezi mi3 mi4 fanya tenna, ikifika 4 times atapoa.
 
Jana ulileta uzi ugomvi na mshkaji wako kisa ghetto. Leo ni ugomvi na Dadako, na bila shaka ni juu ya mashemeji. Watu wenye Dada mna nafasi nzuri ya kujifunza saikolojia pamoja na tabia za wanawake. Usipanic unapowajua bali chagua namna ya kuishi nao.
 
La kufanya n kujitaidi umzidi kete kiutaftaji. Huo ugomvi n kama yeye yupo juu kimaisha na hataki mzigo mwingne ambao n wewe. Kwan huo ugomvi wenu utakausha mtu damu? Mkaushie kwan sa ivi umekua na utoto umeacha bas hata kama ameolewa acha hata kumsalimia mme wake yan wafute kwanza ndan ya mwaka mmoja tu afu mengne yatafata
 
La kufanya n kujitaidi umzidi kete kiutaftaji. Huo ugomvi n kama yeye yupo juu kimaisha na hataki mzigo mwingne ambao n wewe. Kwan huo ugomvi wenu utakausha mtu damu? Mkaushie kwan sa ivi umekua na utoto umeacha bas hata kama ameolewa acha hata kumsalimia mme wake yan wafute kwanza ndan ya mwaka mmoja tu afu mengne yatafata
Hii unaharibu zaidi
 
Mimi nilikua naelewana na mdogo wangu lakin akaleta za kuleta kisa mme wake ana hela nilichokifanya niliwakaushia hamna cha kuwasiliana kuanzia watoto had mme wake hadi namba nikachange. Nimekaa miaka 11 hadi mwaka jana wakapata namba yangu kutoka kwa mama nashangaa wananibembeleza tena wote mpaka wakatuma nauli ya tiket ya ndege niende kwao hela nikalewa na marafiki ili kuwa furaha mara ya mwisho walikata tiket wenyewe tena wakinyenyekea ikabd niende tukayamalza lakn kwao naenda kwa kulazmishana
 
Wachaga punguzeni kunywa hizi pombe za mia Tano mia tano...akili zinawaruka mnaanza kutukana ndugu zenu matusi ya nguoni.

Kwa yale matusi uliyomporomoshea siku ile pale nyumbani, tena mbele ya ule umati wa watu, naamini dada yako hawezi kukusamehe
 
Back
Top Bottom