Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
- Thread starter
- #21
raha kila mtu aitaka....hongera kwa kupata raha (bia)
hahaha thanx mamie,i hope u doing good now
raha kila mtu aitaka....hongera kwa kupata raha (bia)
umeongea maneno meengi sana,una uhakika umemaliza??
Ahsante
hahaha kapona jamani dear, madekezo yote niliyompa ataacha kupona tena?
Dawa yako nakupeleka Kabakabana Bar&Gest House, si unajua kuna corridor nzuri tu, private space we subiri utaona. Usikatae mwaliko wangu lakini.
Aah afadhali manake nimeshtuka sana...
ahsante mwali,karibu bia
mhh nakuomba ulale kwa amani
mwache we endelea na furaha yako. Siyo lazima apitie kila post. Kama ina mbore anaacha.
umeongea maneno meengi sana,una uhakika umemaliza??
Ahsante
Sikujua kumbe kapona dear wako ndiyo maana unarukaruka lakini natumaini bado hawezi kukabana vizuri kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeeh, chit chat kwa afya.
nimefurahia ka-avatar kako tu. No wonder you are happy!
mmhhh! Unavyojibu kwa ustaarabu nadhani Kaka ngu ni member humu!
Nilijua ingekuwa ngumu kumeza lakini huo ndiyo ukweli. Ichukue kama changamoto au changabaridi utavyoona.
Nakutakia kheri na afya njema love.utapata kipenzi,tuombeane kheri na afya njema
usijali kipenzi, kwa huyu wala hatuwezi kugongana! Na si muda sana nitamuweka wazi,nikishavalishwa pete dear.
mimi ni mstaarabu siku zote,halafu wala sio member humu ila nitamshauri ajiunge
hahaha thanx mamie,i hope u doing good now
Hehehe! Mimi tena? Hakikisha napangiwa kushika shela la biharusi..thanx my love for caring,lazima uwepo harusini wewe
Hulali wewe? Mtoto ( Preta ) umemwacha na nani? Mie nilimwogesha afu wewe kazi yako kumbembeleza alale.yes mamito mdogo mdogo
kapona viungo vyote lol