American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 890
- 1,506
Bana nimekuja kuwaambia kitu kibaya sana, ukifikiri pesa ni suluhisho la kila kitu, subiri tu uone shida zake. Niko hapa nina pesa, lakini stress yangu ni kubwa kuliko ya mtu wa kima cha chini, watu wanakudanganya, wanakupenda kwa sababu ya mali, na hata raha ya kula chakula cha mtaani imepotea kwangu. Ila ukweli ni kwamba, hata hiyo stress ya kufikiria pesa ni bora kuliko stress ya kutokuwa na pesa, so kama mna nafasi, jitahidini kupata pesa kwa njia halali, lakini msiisahau kuwa pesa sio mungu wenu.