Nina mpango wa kuwapandisha Meridianbet mahakamani, wamenidhulumu pesa nyingi sana. Mmiliki ambaye ni Waziri jiandae

basketball
Mimi pia mdau basketball betting uwa nadeposit mpka 2m na sijawahi pata hiyo Changamoto.
Cha kufanya nenda makao makuu yao ya meridian bet issue yako inaisha mara moja wala usiwe na wasiwasi meridian bet ni kampuni bora sana bongo kuliko zote
 
nimejisajiri mweridianbet 2017 ilikuwa ni kampuni yangu pendwa tena nikiwa mpiga debe wao kindaki ndaki.

ghafla 2019 yakaanza majanga,mara jumamosi mtandao haufanyi kazi??na ukirogwa uweke pesa siku hizo yaani jmosi,yanatokea kama ya dada mlalamikaji.

siku niliyoacha rasmi kufanya nao kazi ni pale nimeweka elfu 20 pesa hakuna ktk acc,napiga naambiwa wapigie provider wako,nawapigia voda wananambia pesa imekwenda tayari,nikawafata kwenye email nikawapasukia sana,na ahadi kwamba nakwenda kuwachafua mitandaoni,kinyonge wakarudisha pesa,nataka kuitoa pesa haitoki,napiga kuwauliza yule mpuuzi ananijibu simple tu ile sio benk ya kuhifadhia pesa,kwamba unaweka bila kubeti kisha unatoa
.
kwa jeuri nikamjibu,
nikamwambia ndugu yangu mimi ni mwizi kuliko unavyodhani,naitoa hiyo pesa na faida juu subiri uone
.nikachukua possible odds kama 2 hivi nikatia ile 20 ilaleta 49
,nilivyowin nikamtumia mkeka inbox na kuitoa pesa yote.

baada ya wiki nalog in naambiwa umekosea password,kureset password nikaambiwa acc yako haipo
,mpaka leo imebaki historia niko na akina 22bet,sportpesa wana kodi kubwa mno.

USHAURI,kesi yako iko serious zaidi ya hizi zangu,nenda ofisini kwao,kisha bod ya kamari kama wasipokuelewa.
inaonekana kuna mambo ya tamaa yameshafanyika,na watu wa huduma kwa wateja wanajua michezo ya baadhi ya staff wenzao wanafumbia kifua.
 
Ngoja nikutumie namba ya Kibatala. Nahisi niliiona sehemu.
 
Mil 1 unaona nyingi mwenyewe ?
Hivi vitu vina wenyewe kama wewe unaona ni nyingi wenzako wanaona kama buku tu,ukiona mtu ana deposit kiasi kama iko tambua ana pesa mara 100 ya hiyo
 
Kwanini ujatushirikisha kabla ya kucheza je ungepiga hela ungetusgirikisha?
nimeshindwa kukutofautisha na nguruwe. hoja kama huna cha kusaidia funga kopo. betting ni biashara kama nyingine. jadiri hoja kama ilivyoletwa. la sivyo huna msaada jamiiforum .
 
nimeshindwa kukutofautisha na nguruwe. hoja kama huna cha kusaidia funga kopo. betting ni biashara kama nyingine. jadiri hoja kama ilivyoletwa. la sivyo huna msaada jamiiforum .
Wewe kama nani au una ID ngapi hapa jf sija coment chochote kwako
 
nimeshindwa kukutofautisha na nguruwe. hoja kama huna cha kusaidia funga kopo. betting ni biashara kama nyingine. jadiri hoja kama ilivyoletwa. la sivyo huna msaada jamiiforum .
Rudi Milembe uendelee kupata tiba!
 
Mil 1 unaona nyingi mwenyewe ?
Hivi vitu vina wenyewe kama wewe unaona ni nyingi wenzako wanaona kama buku tu,ukiona mtu ana deposit kiasi kama iko tambua ana pesa mara 100 ya hiyo
Ni wangapi watu wa namna hiyo hapa Tanzania wanafanya hivyo!

Sasa utaanza stori nyingine, lakini kama unajua maana ya mstari huo niliouweka hapo juu usingeanza hizo hadithi nyingine unazozifikiria kichwani mwako.
 
Halafu kule unakandia watumishi wa LGAs' huku unabet... hovyo kabisa.
 
Hawa Meridianbet wanazingua Sanaa, nishawahi weka pesa kwa kupitia airtel nikaletewa SMS hela imetoka ila kwenye meridian haikufika, kuwapigia wakasema hamna muamala kutoka airte, pesa yangu ndo ikapotea kihivyo
 
Ni wangapi watu wa namna hiyo hapa Tanzania wanafanya hivyo!

Sasa utaanza stori nyingine, lakini kama unajua maana ya mstari huo niliouweka hapo juu usingeanza hizo hadithi nyingine unazozifikiria kichwani mwako.
Unatambua kuwa watu wanatumia hadi mil 50 kwa kamali tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…