Articulator
Senior Member
- Sep 21, 2011
- 194
- 141
nakupongeza sana kwa nia na bidii ya kutaka kujikwamua,usikatishwe tamaa na upuuzi wa wanao kubeza
Muulize the finestKanza paleni kwa kazi wana JF.MIMI NI MWALIMU NINA MILIONI TATU.NINAULIZA NIANZISHE MRADI GANI?NINA TANGULIZA SHUKRANI.
idea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana
- kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
- mkopaji awe na mdhamini
- mkopaji aweke rehani kitu fulani
idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga
- Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
- Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
- Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
- dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
- salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
- utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
- mengineyo = 174,400
- Jumla = 3,000,000
mapato
idea 3
- kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
- mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
- jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
- matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
- faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
- kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
Idea 4
- anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
- Nunua hisa za precision Air
katika watu makini naowajua wewe umo ,naamini unafaa uwe kiongozi ,i appreciate you .your a gentleman and certified to be my close friend .go on vijana wengi hawaja attain hiyo point .good comment everidea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:
kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana
- kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
- mkopaji awe na mdhamini
- mkopaji aweke rehani kitu fulani
idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga
- Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
- Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
- Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
- dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
- salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
- utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
- mengineyo = 174,400
- Jumla = 3,000,000
mapato
idea 3
- kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
- mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
- jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
- matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
- faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
- kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
Idea 4
- anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
- Nunua hisa za precision Air
nilikua nina wekeza kidogokidogo pia nililima mpunga na kuuza ndivyo nilivyo pata hiyo fedha.
teacher,,,nakushauri lima vitunguu. Tena hekta 5 zinakutosha. Hekari 1 utapata gunia 80 ukilima kitaalamu na gharama kwa hekari ni sh laki5 . Ukiuza kwa sh 80000 @ *80=6400000. Mara 5 ni forty million with in 6 month.
idea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana
- kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
- mkopaji awe na mdhamini
- mkopaji aweke rehani kitu fulani
idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga
- Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
- Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
- Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
- dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
- salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
- utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
- mengineyo = 174,400
- Jumla = 3,000,000
mapato
idea 3
- kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
- mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
- jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
- matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
- faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
- kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
Idea 4
- anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
- Nunua hisa za precision Air
mhm jf yahitaji uvumilivu wa hali ya juu...