Nina milioni 3(tsh) nianzishe mradi gani

quote_icon.png
By kanyagio
idea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:

  1. kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
  2. mkopaji awe na mdhamini
  3. mkopaji aweke rehani kitu fulani
kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana

idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:

  • Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
  • Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
  • Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
  • dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
  • salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
  • utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
  • mengineyo = 174,400
  • Jumla = 3,000,000
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga

mapato


  • kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
  • mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
  • jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
  • matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
  • faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
  • kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
idea 3

  • anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
Idea 4

  • Nunua hisa za precision Air


mkuu umenisaida na mimi,asante sana,hao wengine wanaotoa mawazo hasi,nadhani ni wale wenzetu waliozoea kuuza sura kule FACEBOOK,sasa wanadhani hapa pia tuna utamaduni huo.inahitaji uvumilivu sana kuishi na watu kama hawa
 
Kwanza poleni kwa kazi wana JF,

MIMI NI MWALIMU NINA MILIONI TATU, NINAULIZA NIANZISHE MRADI GANI?

NINA TANGULIZA SHUKRANI.

acha kutania watu..nunua kitu samsung galaxy 2 ....1.200.000/= inayobaki ingia zizzou fashion chukua jeans zako 3 na tshirts za man city hasa ya kun aguero na raba zako pea mbili..afu tukutane samaki samaki tuweke heshima bar...huna hela ya kufanya biashara hapo hiyo ni ya kunywea tu
 
Sijakushambulia. Basi kama hujapenda.
Basi namshauri anunue bajaji. Kama yupo miji midogo itazalisha. Inabidi iwe biashara atakayoisimamia yeye maana siku hizi kumpa mtu biashara ndogo kama hiyo atakuliza.

Utapata wapi bajaji ya milioni 3 bajaji bei yake ni millioni 5 na kuendelea,hiyo ya milioni 3 labda iwe imechoka.
 
nunua bodaboda mbili nina uhakika kila moja lina uwezo wa kukuingizia 45000/wk mara mbili mara nne ni 180000 kwa mwez mara 12 ni mil 2160000

@ Kalyovatipi, check your figures. hata hivyo biashara hiyo ni pasua kichwa sana.
 
Ushauri mwingi ni mzuri, lakini kwa sasa hivi usiache kilimo. Sina hakika hiyo pesa umeweza kuipata baada ya muda gani? Lakini biashara ya mazao haina hasara. Jitahidi uongeze Mtaji, mtaji ukiongezeka sasa fikiria kupanua biashara.
 
Kwanza poleni kwa kazi wana JF,

MIMI NI MWALIMU NINA MILIONI TATU, NINAULIZA NIANZISHE MRADI GANI?

NINA TANGULIZA SHUKRANI.
Ticha sababu upo busy kufundisha unaweza nunua kiwanja kiache kwa miaka 2 na uhakika itazalisha hiyo pesa yako maradufu.
Ni PM kama unataka kiwanja iwe Arusha au Dar naweza kukusidia tukielewana.
 
acha kutania watu..nunua kitu samsung galaxy 2 ....1.200.000/= inayobaki ingia zizzou fashion chukua jeans zako 3 na tshirts za man city hasa ya kun aguero na raba zako pea mbili..afu tukutane samaki samaki tuweke heshima bar...huna hela ya kufanya biashara hapo hiyo ni ya kunywea tu

Umetoa mgando tuu, sorry..
 
acha kutania watu..nunua kitu samsung galaxy 2 ....1.200.000/= inayobaki ingia zizzou fashion chukua jeans zako 3 na tshirts za man city hasa ya kun aguero na raba zako pea mbili..afu tukutane samaki samaki tuweke heshima bar...huna hela ya kufanya biashara hapo hiyo ni ya kunywea tu

Dont you have a pocket?...., could have helped us by keeping your composites in there! (Sorry, I did not intend to behave like you...!)
 
quote_icon.png
By kanyagio
idea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:

  1. kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
  2. mkopaji awe na mdhamini
  3. mkopaji aweke rehani kitu fulani
kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana

idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:

  • Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
  • Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
  • Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
  • dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
  • salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
  • utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
  • mengineyo = 174,400
  • Jumla = 3,000,000
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga

mapato


  • kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
  • mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
  • jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
  • matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
  • faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
  • kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
idea 3

  • anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
Idea 4

  • Nunua hisa za precision Air


mkuu umenisaida na mimi,asante sana,hao wengine wanaotoa mawazo hasi,nadhani ni wale wenzetu waliozoea kuuza sura kule FACEBOOK,sasa wanadhani hapa pia tuna utamaduni huo.inahitaji uvumilivu sana kuishi na watu kama hawa

naombeni ufafanuzi wa biashara ya kununua mazao mkoani ni mazao gani yanalipa na jinsi ya kupata soko hapa mjini
 
Kombe la dunia litaanza karibuni nunua projector yenye resolution kubwa, dstv, projection board, kodi ukumbi onyesha mpira ila inategemea na eneo lako, kwangu mim kwa eneo langu ningefanya hvo na hyo hera ingerudi nikionesha mech 20 tu.
 
Nimekuja kukuuliza mwalimu, tangu tukushauri hapa miaka 3 iliyopita ulichukua wazo lipi na mafanikio yako yakoje hadi sasa ? Natamani kusikia ulivyofanikiwa kwa mawazo yetu. Lakini kama pia uliweka heshima BAR usisite kutujulisha.
 
Nimekuja kukuuliza mwalimu, tangu tukushauri hapa miaka 3 iliyopita ulichukua wazo lipi na mafanikio yako yakoje hadi sasa ? Natamani kusikia ulivyofanikiwa kwa mawazo yetu. Lakini kama pia uliweka heshima BAR usisite kutujulisha.

Mwezi July naenda kuonana na huyu Teacher mwenzangu, hope ntakuja na mrejesho hapa.
 
sasa we mbona humsaidii mawazo mwenzio? badala yake unaanza kushambulia tu!
Mbona na wewe hujamsaidia badala yake unamshambulia aliyeshambulia??....Mwalimu hiyo pesa inatosha kabisa kuingia kwenye miradi ya horticulture, nakushauri uzipeleke shambani hizo pesa. Ungesaidiwa zaidi ungesema unapatikana wapi
 
Kajiunge na Gnld then unawaunga ndugu jamaa na marafiki wako wa karibu kwa kutumia pesa hiyo tna utapa pesa mingi mwisho wa mwezi .Call me 0657534233.Hapa i mean network marketing
 
Hisa ni longterm issue gawio ni dogo tena mpka mwisho wa mwaka sishauri hili.
 
Bora hata uwe machinga unaweka pesa kwa mzigo ambao ni hot cake mjini then unapeleka sehemu kuuza.
 
Kiufupi sijapenda watu wanao mdharau mwenzetu wakati inawezekana hata 1m hawana hata kama unayo basi mshukuru MUNGU sio kumponda mtu nimesikitika sana majivuno ya nini kisa ni mwalimu ww bila mwalimu ungekuwepo hapo? Naongea na wote waliomdharau huyu mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom