Nina miaka mitano sijala UGALI

Anayependa ugali ale kampeni za nini?
Mimi sipendi ugali, ila mara moja moja naumisi naugonga na mlenda na maziwa mgando
 
Ukishindwa kubadilisha mlo ukajikuta kila siku unarudia ugali uleule lazima uone ugali ni mbaya... Siku ukiweza kubadilisha mlo mara kwa mara ndipo utajua utamu wa ugali 😁
 
Ukishindwa kubadilisha mlo ukajikuta kila siku unarudia ugali uleule lazima uone ugali ni mbaya... Siku ukiweza kubadilisha mlo mara kwa mara ndipo utajua utamu wa ugali 😁
Achana na huyo muhaya yeye msosi wake ndizi na senene kila siku.

Hajui kuwa ugali mchawi mboga.
 
Hii ni hashtag au? Kila thread ugali this ugali tht. Whats going on?
 
Ugali unamfanya mtu aote ndoto za kutisha usiku..

Kula ugali kupita kiasi hukomaza uso.. Mtoto mdg anakuwa kama mtu mzma..
 
Hivi ndivyo tunavyo kula ugali,
Tena ni kwamama ntilie.
Hapo kuna matunda, wanga, mboga mboga, protein (maharage, nyama,dagaa)
 

Attachments

  • ugali1.jpg
    64.6 KB · Views: 17
Una matatizo sio bure, ugali huo ndo umekufanya ukapata Tako afu unaongea umatako hapa !!! Bastard kabisa
 
nyiendo vijana ambao ukiambiwa pakia mbuzi (beberu) kwenye pick up .. unaanza kulia na kuomba msaada..
 
Kilichokudumaza ni SEMBE siyo Ugali,,, nyie viini mnawapa Panya na Nguruwe halafu mnabaki kufakamia makapi kwanini msidumae?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…