Nina miaka 28 ninaweza kumuoa mwanamke mwenye miaka 27?

Nina miaka 28 ninaweza kumuoa mwanamke mwenye miaka 27?

Maisha hayana formula kijana, fuata moyo wako. Utajkuta unaulzia kla ktu mpaka upoteze uelekeo.
 
Mkuu kuna kitu kinaitwa priority, ni kitu gani unakipa kipaumbele kwa mwanamke ambaye ungependa kumuoa na kuishi naye.

Mfano kipaumbele cha kwanza kinaweza kuwa uzuri, yani akuvutie, mbili tabia, tatu upeo wa kutafuta, nne umri. Sasa kama hvyo vya kwanza anavyo na umri wenyewe sio kwamba kakuzidi, mi nadhani anafaa huyo.

Unaweza ukampata wa umri mdogo lakini hana hivyo vigezo vya mwanzo akakusumbua, ndoa ukaiona chungu.

Mwisho, wewe ndo muoaji, sisi washauri tu. Mke wako utakuja kuishi nae mwenywe.
 
Kama unapenda ngono unaweza, kama unawaza mapenzi unaweza pia, ila kama unataka maisha achana nae......,

Jitahidi gap iwe kubwa kidogo minimum 5 yrs difference
Samahani naingilia Uzi, hiyo 5yrs ni above him au below his age???... Hapa ndio napendelea kujua maana mm naangumiaga kwa above my age? and single mothers of above my age
 
Samahani naingilia Uzi, hiyo 5yrs ni above him au below his age???... Hapa ndio napendelea kujua maana mm naangumiaga kwa above my age? and single mothers of above my age
Namaanisha ....mwanaume ndio awe mkubwa kuliko mwanamke kwa tofauti ya miaka 5 minimum
 
Haiwezekani kumuowa kutokana ushakuwa kijeba.[emoji12]
Nyuzi nyengine sijui huanzishwa na walevi[emoji1]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mkuu!!
Huyo alishakuacha!
Oa dem mwenye umri wa miaka 18 hadi 20 kwa umri wako huo.
Hao wa umri sawa huwa tuna suuza lungu then tuna Acha.
 
Hii tunaita dirisha dogo la usajili
 
Bro Miaka 28 ww ni mtu mzima kabisa!! Nashangaa jambo km hili limekushinda..!! How!??

(Sorry km nimekuudhi)
 
kuuliza uliza maswali rahisi kama haya na kuomba ushauri hapa ni sifa ya mwanaume asiejiamini..Gap la miaka 2 sio la kuhangaika na kuja kutuletea uzi.

ukiendelea kuto jiamini huyo mwanamke utakua nae ila wadau watakusaidia.
 
Ok, sasa si mfanye mbebane moja kwa moja. Hawa vijana, asije kukufanyia mbaya, mkatafunana then akatafuta wa kuingiza ndani.
Mambo mazuri hayataki haraka mkuu, ngoja nimalize haka kashughuli ninakofanya sasa hivi na utaletewa kadi mwakani Mungu akipenda.
 
Back
Top Bottom