Nina miaka 28 ninaweza kumuoa mwanamke mwenye miaka 27?

Nina miaka 28 ninaweza kumuoa mwanamke mwenye miaka 27?

Nilipokutana nae nilimuuliza anahisi nina umri gani akaniambia 28, mhh wewe mbona huko nilikuwa zamani sana nilijesemea moyoni. Lakini halikuwa linanipa Amani, siku nilipomwambia umri wangu alishtuka sana, akasema inamaana wewe ni mkubwa kuliko kaka yangu wa kwanza? Alijitafakari sana baadae alirudi. Ukweli umeniacha huru sasa hivi ninaweza kuweka passport yangu hata juu ya meza.
..lakini wewe unatufaa sisi zaidi (kidding)
 
Hivi hiki kigezo cha wanaotaka kuuona wawe na gap kubwa mantiki yake hua siielewi kwan kukiwa na gap dogo LA miaka shida iko WAP???? Au Kama mkilingana kabsa miaka shida nn???....na ukizingatia mnapendana....
Ukishaingia kwenye ndoa utapata majibu sahihi. Ila mkiwa bf na gf hutaelewa kwa urahisi
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Nilipokutana nae nilimuuliza anahisi nina umri gani akaniambia 28, mhh wewe mbona huko nilikuwa zamani sana nilijesemea moyoni. Lakini halikuwa linanipa Amani, siku nilipomwambia umri wangu alishtuka sana, akasema inamaana wewe ni mkubwa kuliko kaka yangu wa kwanza? Alijitafakari sana baadae alirudi. Ukweli umeniacha huru sasa hivi ninaweza kuweka passport yangu hata juu ya meza.
Umemzidi miaka mingapi maana na mimi nina mchumba kanizidi miaka miwili ila anaejielewa vizuri sana, yaani anafaa kuwa wife kabisa
 
Mm nikijana ninamiaka 28 kunabinti wa miaka 27 nimempenda VP nikimuoa itakuwa sawa? Naombeni ushauri.

Mods naomba msifute nipate ushari Kijana mwenzenu asante.
Kwani kuna sheria ya umri gani mzidiane katika kuoana?...
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Tatizo vijana wa siku hizi mnajifanya much knowers, mnadhan wazee wetu walikuwa wajinga kuoa wanawake wadogo kwao kiumri. Si kila anachoFanya westerner na sisi tukifanye. Hata huko ulaya na marekani wenye mahusiano ya style hio mapenzi yao huwa hayaendi mbali. Kama unabisha oa mwanamke aliyekuzidi umri. Ila ipo siku utakuja hapa kuomba ushauri.
 
"Age are numbers only , what it matter is true LOVE"

"Nimesema wewe wowaaa tuu"
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Maisha hayana formula kijana
IMG-20170417-WA0014.jpg
 
Back
Top Bottom