Nina miaka 28 ninaweza kumuoa mwanamke mwenye miaka 27?

Nina miaka 28 ninaweza kumuoa mwanamke mwenye miaka 27?

Hivi hiki kigezo cha wanaotaka kuuona wawe na gap kubwa mantiki yake hua siielewi kwan kukiwa na gap dogo LA miaka shida iko WAP???? Au Kama mkilingana kabsa miaka shida nn???....na ukizingatia mnapendana....
Kupendana sawa ka
Kumbe inasemekana hauna uhakika???.....alafu me navyojua mwanamke matunzo tuu Kama hatunzwi lazma awah kuzeeka....ila Kama anatunzwa vizuri sidhani....
Endelea kulazimisha..................Case kama hizi zilizofanikiwa zipo ila ni chache..........Wengi wamefaulu kufeli...........
 
Oa wa miaka 70 unataka ushauri weka picha yake na namba ili ushauriwe vizuri.
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Acheni ushamba. Hata kama kakuzidi kidogo.. ili mradi awe anakupa amani ya moyo na furaha hakuna shida. Cha msingi uangalie awe hajazidi umri wa kuzaa. Ukidili na ushauri wa wahuni utaoa chaguo lisilo lako ukikomaa na kigezo cha umri. Hata akizeeka utapiga ligi za pembeni
 
Acha locally feelings kijana oa hata bibi kama umempenda
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Kama unapenda ngono unaweza, kama unawaza mapenzi unaweza pia, ila kama unataka maisha achana nae......,

Jitahidi gap iwe kubwa kidogo minimum 5 yrs difference
Kuna mawazo mengine ni hatari zaidi ya sumu ya nuclear, nani aliekwambia kwenye swala la kuoa umri ni kigezo ambacho kitazuia maisha yasiendelee?Cha msingi tathmini mwanamke unaetaka kumuoa je? mwenendo na tabia zake, juhudi na maarifa, hofu ya Mungu na ana mapenzi ya kweli...ukijiridhisha oa mara moja kabla wajanja hawajakuchukulia...Ndoa inakuwa chungu pale unapofanya makosa kwenye hatua ya kuchagua,.........
 
Nilipokutana nae nilimuuliza anahisi nina umri gani akaniambia 28, mhh wewe mbona huko nilikuwa zamani sana nilijesemea moyoni. Lakini halikuwa linanipa Amani, siku nilipomwambia umri wangu alishtuka sana, akasema inamaana wewe ni mkubwa kuliko kaka yangu wa kwanza? Alijitafakari sana baadae alirudi. Ukweli umeniacha huru sasa hivi ninaweza kuweka passport yangu hata juu ya meza.
 
Nimemzidi umri pia lakini mambo poa ila kuna wakati nijisahau tukiwa tunabishana ninamwmbia 'hembu nyamaza' ananyamaza kweli baadae roho inaniuma.
Nashukuru kwa mfano hai
 
Ukimzidi sana mwanamke(msichana) umri, uwe tayari kusaidiwa na vijana. Ukioa anayekuzidi umri utakuwa safe, mosi anajitambua na kapita kwingi, pili huwa hawana tamaa za kijinga kijinga. Ushauri usimzidi sana mlingane au ukimzidi kidogo 1-3, akikuzidi 1-3.
 
Back
Top Bottom