Ole wakokaya?Wabheja naguntola
Unaijua sumu ya nuclear? E = mc 2.....ukiona hivyo jua umeguswa........Let me keep in this way...."IT'S NOT IMPORTANT BUT VERY CRUCIAL" .......Ni vizuri kuweka mambo wazi......kuliko kuchukua hatua ambayo itakufanya kuwa na tension kubwa muda wote.Kuna mawazo mengine ni hatari zaidi ya sumu ya nuclear, nani aliekwambia kwenye swala la kuoa umri ni kigezo ambacho kitazuia maisha yasiendelee?Cha msingi tathmini mwanamke unaetaka kumuoa je? mwenendo na tabia zake, juhudi na maarifa, hofu ya Mungu na ana mapenzi ya kweli...ukijiridhisha oa mara moja kabla wajanja hawajakuchukulia...Ndoa inakuwa chungu pale unapofanya makosa kwenye hatua ya kuchagua,.........
Ole wakokaya?Wabheja naguntola
Inasemekana mwanamke anawai kuzeeka,tofauti na mwanaume kiasi kwamba ukioa unaelingana nae yeye atawahi kufikia ukomo wa kutokufanya mapenzi wakt ww ukiwa na nguvu zako zote...ishu itakuja kila ukitaka akuridhishe inashindikana na kuweza kukufanya ww kuchepuka kutembea na vibinti
Tolaga du! mwaka gumo iditatizo!Wabheja naguntola
Gap ikiwa kubwa kunauwezekano pia wa kuwapo gap katika kuondoka duniani,angalia familia nyingi baba anatangulia mama anabaki na watoto.Hivi hiki kigezo cha wanaotaka kuuona wawe na gap kubwa mantiki yake hua siielewi kwan kukiwa na gap dogo LA miaka shida iko WAP???? Au Kama mkilingana kabsa miaka shida nn???....na ukizingatia mnapendana....
Nene nale mnyamwezi.Getegete ogukaya gete
Tatizo nini?haipiti?
Duh kuna dada anajua kapendwa huko lakini kumbe behind jamaa amekuja jamii forum kuanzisha uzi wa kuomba ushauri whether aendelee kuwa nae au amuache kisa umri.. Ndugu maisha hayana formular japo ni vizuri kujifunza from experienced people.. Angalia usimuumize huyo dada for wahatever decision u gonna make, just make it early kabla hajazama zaidi ili usiumize hisia za huyo dada..Hapana ni katika hatua za awali bado sijazama nipo tayar kupokea ushauri na kufanya maamuz yoyote mkuu
Hapana ni katika hatua za awali bado sijazama nipo tayar kupokea ushauri na kufanya maamuz yoyote mkuu[/QUOTE
Kwan shida iko wapi ata ww mwenyewe unachepuka mwanaume aridhikagi anatoshekaInasemekana mwanamke anawai kuzeeka,tofauti na mwanaume kiasi kwamba ukioa unaelingana nae yeye atawahi kufikia ukomo wa kutokufanya mapenzi wakt ww ukiwa na nguvu zako zote...ishu itakuja kila ukitaka akuridhishe inashindikana na kuweza kukufanya ww kuchepuka kutembea na vibinti
Only in Tanzania