Aah mademu tu kumbe.Mimi mademu tu wanaonizidi nimeshaona changamoto, kuoa ndo sitothubutu kabisa, at least nimzidi 3yrs na isizidi 5yrs...
Sasa ndio nn?Mi mbona Mr kanipita miaka 12 lakini nikikaa nae unaweza kujua ni mtu na shangazi yake
True.Wenyewe wanasema kwamba wanawake tunawahi kuchoka! Eti uzazi na blah blah nyingine lkn ukiwa na pesa zako ukajali diet na mazoezi wote mtakua vijana tu kama dai na Zari
duuuuu hongera sana uli mzidi kwa tofauti ya miaka mingapi maana na mm hayo mazali yawaliyo nizidi umri yananitokeaga sana mara nyingi mnakua mmekomaa kiakili tofauti na hawa mabinti wadogo.Nilipokutana nae nilimuuliza anahisi nina umri gani akaniambia 28, mhh wewe mbona huko nilikuwa zamani sana nilijesemea moyoni. Lakini halikuwa linanipa Amani, siku nilipomwambia umri wangu alishtuka sana, akasema inamaana wewe ni mkubwa kuliko kaka yangu wa kwanza? Alijitafakari sana baadae alirudi. Ukweli umeniacha huru sasa hivi ninaweza kuweka passport yangu hata juu ya meza.
Haifiki mitano.duuuuu hongera sana uli mzidi kwa tofauti ya miaka mingapi maana na mm hayo mazali yawaliyo nizidi umri yananitokeaga sana mara nyingi mnakua mmekomaa kiakili tofauti na hawa mabinti wadogo.
siyo mbaya imekaa vyema aiseHaifiki mitano.
Totally trueUntrue[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]