Nina miaka 28 ninaweza kumuoa mwanamke mwenye miaka 27?

Nina miaka 28 ninaweza kumuoa mwanamke mwenye miaka 27?

Ila wakati mwingine vibinti vinavutia sana kwenye ndoa.maana ukutoka kwenye mihangahiko yako unakuta sura yakuvutia home.wakina mama wazee wanakera sana na misura yao ya uzee na misauti minene hasa watoka mbeya
 
Nilipokutana nae nilimuuliza anahisi nina umri gani akaniambia 28, mhh wewe mbona huko nilikuwa zamani sana nilijesemea moyoni. Lakini halikuwa linanipa Amani, siku nilipomwambia umri wangu alishtuka sana, akasema inamaana wewe ni mkubwa kuliko kaka yangu wa kwanza? Alijitafakari sana baadae alirudi. Ukweli umeniacha huru sasa hivi ninaweza kuweka passport yangu hata juu ya meza.
Safi kabisa. Uko vzr mpendwa!
 
Mm nikijana ninamiaka 28 kunabinti wa miaka 27 nimempenda VP nikimuoa itakuwa sawa? Naombeni ushauri.

Mods naomba msifute nipate ushari Kijana mwenzenu asante.
Ww tu na roho yako, mengi ni mzee sana lkn kamuoa jackline bado mbichi kabisa itakuwa ww, 28-27=1 au ww sio mzima kwenye mambo fulani
 
kupishana umri inafaida yake na hasa kwa vijana bora kuowa/Kuolewa na aliyekuzidi au kumzidi ili kuleta utofauti ,na hasa kama mmoja ana umri mdogo sana .

maana mkiowana watoto sana kuna shida yake maana hakuna wa kumkoctrol mwenzie .

Bora hata kuowana mkiwa wote umri sawa au kupishana kidogo huwa haimatii.

Ndomana zamani mabint wengi walikuwa wanaolewa na watu wazima na ndoa zikadumu .

ila saiv tunaowana wote mwendo kasi hakuna wa kumwambia mwenzie hapo kuna kibao punguza speed tembea 50,
badala yake yeye akiongeza na ww unaongeza na maisha hayataki hivyo
 
Nilipokutana nae nilimuuliza anahisi nina umri gani akaniambia 28, mhh wewe mbona huko nilikuwa zamani sana nilijesemea moyoni. Lakini halikuwa linanipa Amani, siku nilipomwambia umri wangu alishtuka sana, akasema inamaana wewe ni mkubwa kuliko kaka yangu wa kwanza? Alijitafakari sana baadae alirudi. Ukweli umeniacha huru sasa hivi ninaweza kuweka passport yangu hata juu ya meza.
Ninachokupendea wewe katika story/habari yoyote inayoletwa basi unatoa experience yako kutokana na hiyo kitu...salute
 
Mi mbona Mr kanipita miaka 12 lakini nikikaa nae unaweza kujua ni mtu na shangazi yake
 
Kumbe inasemekana hauna uhakika???.....alafu me navyojua mwanamke matunzo tuu Kama hatunzwi lazma awah kuzeeka....ila Kama anatunzwa vizuri sidhani....
Mawazo ya vijana bwana, hebu ingieni field ili muweze yasimamia hayo mawazo yenu ili mtuletee mrejesho halisi sio huu wa kinadharia zaid.
 
Nimeelewa sana humu mm na mpenzi wangu nimelingana naye umri ila baba kaniambia kwenye kuoa angalia umri
 
Nimemzidi umri pia lakini mambo poa ila kuna wakati nijisahau tukiwa tunabishana ninamwmbia 'hembu nyamaza' ananyamaza kweli baadae roho inaniuma.
Hapo ndipo wanawake na wao pia hawapendi wanaume wadogo kwao.
 
Inasemekana mwanamke anawai kuzeeka,tofauti na mwanaume kiasi kwamba ukioa unaelingana nae yeye atawahi kufikia ukomo wa kutokufanya mapenzi wakt ww ukiwa na nguvu zako zote...ishu itakuja kila ukitaka akuridhishe inashindikana na kuweza kukufanya ww kuchepuka kutembea na vibinti
Swadakta
 
Kwanza ukiinanii naye inaingia au haingii kwasababu ya ilo gepu tujue kwanza kama its work endelea unless other wife achana naye
 
Acheni ushamba. Hata kama kakuzidi kidogo.. ili mradi awe anakupa amani ya moyo na furaha hakuna shida. Cha msingi uangalie awe hajazidi umri wa kuzaa. Ukidili na ushauri wa wahuni utaoa chaguo lisilo lako ukikomaa na kigezo cha umri. Hata akizeeka utapiga ligi za pembeni
Umenifanya nicheke mwenyewe eti ligi za pembeni
 
Ingawa wanasema "age aint nothing but a number", ila ni vizuri ukaoa mke unayemzidi miaka mitano kwenda mbele. Kwenye ndoa mkuu kuna baadhi ya vitu unatakiwa mwanamke asikuzidi maana akikuzidi inaweza ikaleta dharau na pia inferiority complex kwako.
Vitu hivyo ni:

1. Umri - hapa unatakiwa kumzidi ili kuweza kum-control kuwa wewe ni mkubwa kuliko yeye na umeshaona mengi Zaidi yake. Mkilingana hiyo control haitakuwepo

2. Pesa/kipato - uongo mbaya mke akukuzidi kipato utanyanyasika kisaikolojia hata kama hakunyanyasi. M/ume ni kichwa naturally sasa unapokuwa mkia itakutesa

3. Elimu - Hapa ukizidiwa utakosa Amani maana kila unalolifanya utaonekana una upeo mdogo kuliko yeye hivyo kutofurahia ndoa
 
Back
Top Bottom