Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,005
- 7,403
Nimecheka sana hii comment yako joanah kumbe nawew mbabe katika anga hizi hahahaha eti haipitiTatizo nini?haipiti?
Nimecheka sana hii comment yako joanah kumbe nawew mbabe katika anga hizi hahahaha eti haipitiTatizo nini?haipiti?
Duh, noma sana Ms. JoanahTatizo nini?haipiti?
Assumption ya mwanamke anazeeka kuliko wanaume, nadhani matunzo hafifu yaliwazeesha sasa watu wakatengeneza copying mechanisms kwa kuoa mwanamke kwa kuacha gap la miaka kadhaa kumbe kama wangekuwa wanaoana miaka sawa tungejikuta wanaume tunazeeka kuliko wanawake. All in all, gap likiwa dogo au watu wakiwa sawa haina shida tena uzeeni wata cope kuliko mmoja 60 alafu mwingine 50Hivi hiki kigezo cha wanaotaka kuuona wawe na gap kubwa mantiki yake hua siielewi kwan kukiwa na gap dogo LA miaka shida iko WAP???? Au Kama mkilingana kabsa miaka shida nn???....na ukizingatia mnapendana....
Hahaaa apo unakua mpole tuu unafanyaje sasaJe ukioa mdogo siku ukiishiwa nguvu za kumridhisha?
Piechidii za maganda ya korosho.Sijui wenye phd zao wamemaliza kukomenti? We fuata moyo wako hapa ukifatilia kila mtu anamatatzo yake kweny ndoa yake..uoe mdogo, mkubwa n.k matatzo yyapo na jiandae kuyakabili
Nusu ya miaka yako, jumlisha saba.Mm nikijana ninamiaka 28 kunabinti wa miaka 27 nimempenda VP nikimuoa itakuwa sawa? Naombeni ushauri.
Mods naomba msifute nipate ushari Kijana mwenzenu asante.
Io ni vice versa mkuu,wazee wengi tunaowachapia wake zao ni sababu ya tofauti ya umri kuwa kubwa,mwanaume ndo unawahi sana kufika ukomo,pengine nguvu uwahi kuisha, ebhu jiulize wazee wetu wameish maisha ya sio na usasa lakini nguvu zimeisha mapema na wake zao si ndo tunawaridhisha ,vip kizaz chetu hiki,bora akuzid umri tu.Inasemekana mwanamke anawai kuzeeka,tofauti na mwanaume kiasi kwamba ukioa unaelingana nae yeye atawahi kufikia ukomo wa kutokufanya mapenzi wakt ww ukiwa na nguvu zako zote...ishu itakuja kila ukitaka akuridhishe inashindikana na kuweza kukufanya ww kuchepuka kutembea na vibinti
Subiri kwanza ujitambue, akili yako ipanuke ndio uoeMm nikijana ninamiaka 28 kunabinti wa miaka 27 nimempenda VP nikimuoa itakuwa sawa? Naombeni ushauri.
Mods naomba msifute nipate ushari Kijana mwenzenu asante.
Possibility ya kuchapiwa ni kubwa sana,kwa uzoefu wangu wa kuwachapia mlio oa wanawake wadogo na mnaowazid miaka kwanzia 10..Mm namzidi wife miaka 9
Ni kweli ila ni pale anapochagua mtu aliemzidi zaid ya miaka 8 ndo inakuaga shidaIo ni vice versa mkuu,wazee wengi tunaowachapia wake zao ni sababu ya tofauti ya umri kuwa kubwa,mwanaume ndo unawahi sana kufika ukomo,pengine nguvu uwahi kuisha, ebhu jiulize wazee wetu wameish maisha ya sio na usasa lakini nguvu zimeisha mapema na wake zao si ndo tunawaridhisha ,vip kizaz chetu hiki,bora akuzid umri tu.
sasa hapo tatizo lipo wapiInasemekana mwanamke anawai kuzeeka,tofauti na mwanaume kiasi kwamba ukioa unaelingana nae yeye atawahi kufikia ukomo wa kutokufanya mapenzi wakt ww ukiwa na nguvu zako zote...ishu itakuja kila ukitaka akuridhishe inashindikana na kuweza kukufanya ww kuchepuka kutembea na vibinti
Nipenda sana! Mungu awazidishie upendo na aman vitawale maishan mwenu!Nilipokutana nae nilimuuliza anahisi nina umri gani akaniambia 28, mhh wewe mbona huko nilikuwa zamani sana nilijesemea moyoni. Lakini halikuwa linanipa Amani, siku nilipomwambia umri wangu alishtuka sana, akasema inamaana wewe ni mkubwa kuliko kaka yangu wa kwanza? Alijitafakari sana baadae alirudi. Ukweli umeniacha huru sasa hivi ninaweza kuweka passport yangu hata juu ya meza.
Huo mfano sio wa ukweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji7][emoji7][emoji13][emoji13]
Nimecheka sana hii comment yako joanah kumbe nawew mbabe katika anga hizi hahahaha eti haipiti
Duh, noma sana Ms. Joanah
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Duh!