Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Jamani nilikuwa kanisani,kuliko pastor mgeni aliyekuja hapo kanisani,akafundisha somo la "utoaji",somo ilipoisha
akasema akasema sema watu wamtolee Mungu vitu ambavyo wanajisikia kutoa,watu wengi walitoa vitu walivyonavyo pale pale.Wengine walitoa makoti,khanga,shati,mikufu na mengine mengi.
Mi nilitoa saa yangu ya diamond,baadaye nashangaa jamaa alichofanya kachambua vitu vyenye quality
halafu akawarudishia watu vitu ambavyo kwa kiasi flani vilikuwa vimechakaa au vya bei cheap.
sasa najiuliza,kama mtu alitoa alicho nacho kwanini umrudishie?kila mtu ametoa ili apate baraka,sasa why arudishiwe alichotoa,mbona waliotoa vitu vya ghali hawakurudishiwa?
Jamani mtumishi huyu ni yupo sahihi au ndo janja?
akasema akasema sema watu wamtolee Mungu vitu ambavyo wanajisikia kutoa,watu wengi walitoa vitu walivyonavyo pale pale.Wengine walitoa makoti,khanga,shati,mikufu na mengine mengi.
Mi nilitoa saa yangu ya diamond,baadaye nashangaa jamaa alichofanya kachambua vitu vyenye quality
halafu akawarudishia watu vitu ambavyo kwa kiasi flani vilikuwa vimechakaa au vya bei cheap.
sasa najiuliza,kama mtu alitoa alicho nacho kwanini umrudishie?kila mtu ametoa ili apate baraka,sasa why arudishiwe alichotoa,mbona waliotoa vitu vya ghali hawakurudishiwa?
Jamani mtumishi huyu ni yupo sahihi au ndo janja?