Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,479
Kupewa lift na mtu usiyemjua inahitaji upakoPole sana, wasi wasi wako tu ulikua unataka kupewa lifti tu...
Kupewa lift na mtu usiyemjua inahitaji upakoPole sana, wasi wasi wako tu ulikua unataka kupewa lifti tu...
Duh...!.Saa tisa mchana nilikuwa Gongs kwenye kituo cha basi nasubiri daladala niende Chanika, ikaja gari pale aina,kama gari za Noah,watu ndani wanataka kunipa lift.
Wakasemezena mle ndani,"Ati yule anaitwa nani vile"? Halafu wakaniita jina langu,wakasema njoo,twende. Nikakataa, considering it to be quite unnecessary.
Jambo la ajabu,ile gari ilikuwa ina picha kioo cha nyuma,imewekwa picha pale ya mdada mmoja, AMEPOTEA,ukimwona piga simu namba hii.
Yaani hao watu wanaotaka kunipa lifti, gari yao ina poster, bango, notisi, kuhusu mtu aliyepotea. Nasema I suspect someone is toying with the idea of kidnapping me. Just suspicion, not proof. There is nothing wrong in voicing suspicions about any thing.
WEWE NDO HUKO SAHIHI.Sasa Bwana Andrea unaelekea 70 miaka sasa utawezaje kua kidnap? Mimi Naona term sahihi sio kidnap bali oldnap
Lakini hapo kwenu mikocheni si mmewekewa walinzi?? Kwanini chama cha mzee wako wakuteke?