Nani kakubali... Wacha kujilisha upepo.Hatimaye watu wameanza kukubali kuwa Magufuli alikuwa shujaa na kiongozi mwenye maono.
Yasije yakajirudia yale ya jiwe kufichwa baada ya kufariki.Yote kwa yote. Mimi kama raia wa kawaida ningependa rais wetu awe anatokea kwa nadra. Labda kila baada ya miezi mitatu.
Na akitokea nchi inasimama kusikia yaliyofanyika, yanayofanyika na matarajio.
Akitokea anakuja na suluhu za mambo makubwa yenye matokeo makubwa.
Mtindo wa mkuu wa nchi kuonekana kila siku yupo wapi, anafanya nini ni kama kumchosha tu na sisi raia kumzoea kama wa kawaida na kupoteza hamu ya kumsikiliza.
Mawaziri ndio askari wa miavuli, hao ndio wa kuhangaika na kutoa mrejesho na anae kwamisha anasaidiwa inavyo stahili.
Ni maoni tu yanaweza kupuuzwa.
Unamwacha wapi SIRO?
Hayo mambo ya msingi hayaendi?Kaka, nimeshangaa sana mambo ya huyu mama. Yaani kabisa ameacha ofisi na kwenda kuamua 'kuigiza movie' badala ya kushughulika na serious matters. Wapo watu wanatetea hii kitu kwamba hata Kagame 2018 aliigiza filamu ya Royal Tour. Kwangu mimi this doesn't make sense at all. Yapo mambo mengi na ya msingi sana yanahitaji uamuzi wa Rais na siyo huu utumbo unaofanyika sasa
Hata mwaka haujaisha wameanza kutubuHa ha mmeanza kumkumbuka "Jiwe" na bado
itoshe kusema Bi mkubwa hakujiandaa kuwa rais
Sijasema wewe mkuu, wadau wengine hapa wanamkumbuka, najua hujawahi kumkubali mwamba japo alikuwa jembe kweli kweliWapi nimeandika hivyo?