cold water
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 175
- 618
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.
Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .
Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .
Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.