Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,088
- Thread starter
- #21
Hao ttcl nawajua mkuu, tangu enzi za internet cafes.Tembelea ttcl watakuhudumia kwa unlimited internet,kwa mwezi kama elfu 50 tu; ulimwengu wa sasa ni ku-save kidigitali na si kianalojia.
Kuwekewa tu hio internet yao ni bei sana ukiwa haupo eneo zenye nguzo zao.
Na hata kama nikiwa nayo hio ya elf 50 ku upload ni MB 1 kwa sekunde, Mzigo wangu wa GB 200 hapo hadi umalizike ni zaidi ya siku mbili.
Ndio maana nimeomba ushauri wa local backups, kwa hapa bongo online backups ni changamoto sana