Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Nimejikuta nina hofu ya kupoteza data zangu hasa baada ya matukio kadhaa ya kupoteza flash, kuibiwa simu, n.k. Data zilizokuwemo humo zilipotea moja kwa moja, ni kumbukumbu za muhimu siwezi kuja kuzipata tena.
Najua kuna online back ups lakini hizi kila mwezi inabidi ulipie na pia unahitaji bando kubwa sana ikiwa una mafaili makubwa.
nina desktop siitumiagi ya zamani pentem 4 , gb 500 hard disk nimepata wazo pengine naweza kuitumia kwa kazi hii pekee,
ninahitaji kwa sasa niwe na central backup ya kutunzia nakala zangu zote za mafaili ya simu, laptop, camera, n.k.
Mafaili yangu muhimu kwa ujumla ni gb 150 ila kila wiki naweza nikawa naongeza mapya.
Ulinzi wa data nazo backup nao ni muhimu,
Najua kuna online back ups lakini hizi kila mwezi inabidi ulipie na pia unahitaji bando kubwa sana ikiwa una mafaili makubwa.
nina desktop siitumiagi ya zamani pentem 4 , gb 500 hard disk nimepata wazo pengine naweza kuitumia kwa kazi hii pekee,
ninahitaji kwa sasa niwe na central backup ya kutunzia nakala zangu zote za mafaili ya simu, laptop, camera, n.k.
Mafaili yangu muhimu kwa ujumla ni gb 150 ila kila wiki naweza nikawa naongeza mapya.
Ulinzi wa data nazo backup nao ni muhimu,