Nina hisia kali na mwanamke mwenzangu

BAK naona umeanzia kusoma katikati nilisema hapo nyuma kuwa nilipokuwa chuo na mwanzo kazini nilitumia 'sex transmutation' kuhamisha mawazo yangu ya ngono kwenda masomoni lakini kwakuwa sasa nimeshafika napotaka hamna pa kuhamishia hizi hisia kunisahaulisha.

Pa kuhamishia.... ??
Kwanini usijishughulishe na KILIMO KWANZA CAMPAIGN? Wallahi hutapata nguvu wala muda wa kumfikiria si mwanamke wala mwanaume.
 
Dada Diana hayo ni majaribu ya maisha jitahidi kuzishinda hisia zako muombe mungu pia akusaidie kuziepuka hizi tamaa za kibinadamu .Nakuomba usijaribu kujitumbukiza kwenye wimbi la usagaji ..Ni dhambi na ndio maana mungu aliumba mwanamke na mwanaume alikuwa na makusudi yake maalum.
Haya mengine ni roho chafu zinajiinua juu yetu.Amin utayashinda haya majaribu
 
Duh hivi haya mambo huwa yanatokea eeh??! inabidi kujiangalia na wake zetu.
 
Kwa jina la yesu kristo wa nazareti na kwa mamlaka toka juu nang'oa roho mchafu anayemsumbua huyu dada, amen
 
Watu humu bwana wan'chekesha kweli..

Ati roho chafu...? This is joke..sasa kaa ni 'roho chafu' afenyeje? Mwili wake tu wamsumbua je huyo roho asieonekana atamueza?

Huyu mdada ana matatizo tu biochemicals ktk mwili, pengine ni mambo ya imbalances ktk hormones secretion. Anaweza pengine akapata tiba ya tatizo au huenda tatizo lake halina tiba, maana kuna wengine ndivo walivoumbwa..Cha muhimu ni exhaust medical solutions. Sasa kama akishindwa kote huko kwene matibabu ajaribu njia za kawaida za kuishi chaste life kama ni 'mwanadini'... Hakuna kamba za 'roho chafu' hapa..ebo!
 
Kama jina lako, unataka kushuhulika na mtu wa jinsia yako..sasa huyo mumeo atakutosheleza kweli au umeanza kumpoteza mawazoni mwako?. Jaribu kuachana na hizo tamaa zisizo na maana na zenye kuweza kukuongezea dhambi katika daftari lako la hukumu. Epuka kuanza kumsifia Mwanamke mwenzio kwa staili hii ambayo inaonyesha wazi kuwa kama hukuwahi kuangukia kwenye aina hiyo ya mapenzi ya Kisagaji, basi haitachukua muda mrefu utajikuta umepotea kabisa. Jiulize mara mbilimbili, hivi nini raha ya kushuhulika na mtu wa jinsia yako?. Na kama unazama katika hiyo aina ya mapenzi, kwa jamii yetu ambayo ina kioo kila kona kama kamera za CCTV, utafanyia wapi hayo mapenzi nawe ni mke wa Mtu?.



Hata kama unajaribu kuleta habari ya kufikirika, lakini kimsingi inawezakena kabisa haya yapo mawazoni mwako, yatakutafuna na kukuzamisha..mara nyingi Shetani huwa anasingiziwa..lakini ukiangalia unaweza kuona kuwa Binadamu huwa tunamtengenezea Shetani jukwaa (plat-from) mioyoni mwetu na badae tukionekana tunakwenda kinyume (kutenda dhambi) tunamsingizia yeye ndo katufanya tufanye hivyo. Haifikiriki kwa mwanamke timamu kuanza kumtamani mwanamke mwenzio kihivyo na kuthubutu kueleza hadharani na bayana hisia zako ambazo unaweza kuzithibiti mwenyewe iwpo una utimamu wa maungo na akili na ni mfuasi wa dini...Ni aibu!.

Hizo hisia za ajabu bana DD. Achana nazo na kumbuka kama unafuata maandiko, ukimtamani mwanamke kwa Kuzini nae, umekwisha zini..tubu na kuacha hiyo mambo kabisa..ni aibu sana sana na haipaswa kueleza watu hayo madudu ya kiluwani!


kaka mwelewe mwenzio haina haja ya kumsuta au kumgombeza,kumpa maneno ya kashfa.
uyu dada ana shida na ndiyo ameomba msaaasa .hajui la kufanya ...it hapen ma broo so wat u shuld do iz to give her the tips to follow ili atoke kwenye moto unaomnyemelea cz ata yeye apendi kuwa katika hali iyo na ndo maana anahaha afanye nini aili amkimbie shetani
inabidi umpe mkono kumvuta uko aliko na siyo kumdidimiza au kumpa maneno ya kumnyanyapaa
give her da tips to follow
hayo ni matatizo ya kisaikolojia......pale UDSM walikuwepo weeengi wa dizaini hii lakin yeye km ameadmit hajawai fanya ako ka mchezo basi usjari do da folowing:
..sali sana kikombe iki kikuepuke
..zidisha mapenzi kwa mume wako.....fikra za dada kimwana zikija .wewe shika cm mpigie mume walo
..mshirikishe mume wako ONLY IF HE IS UNDSTANDNG MAN...........km ni wale wale watoa hukumu b4 kushirikisha akili ..au wale toka kule kw acha cha mwita..pls dont.
........we we mkristu?peleka kwa mchungaji....padri i blv they have a package 4u


PLS MPEN USHAURI NA SIYO KUMUHUKUMU COZ HAKUOMBA WALA HAKUJAZA APPLICATION FORM ILI APEWE AYO MAPEPO......TOENI USHAURI NA SIYO KUMPAKA.
 
1.Pole Double D. Nakushauri muda mwingi uwe na Mumeo na ikiwezekana jikite sana kwake na mawazo yako yahamishie kwake na wakati wa tendo la ndoa, hakikisha unamaliza hamu yote kwake, na kama inawezekana, jaribu kuwa nae hata wakati wa lunch. Usiache kazi, wala usijaribu kuyakimbia majaribu! Ila jitahidi kuyashinda.

2. Mpe YESU maisha yako, na jitahidi kuwa unasali muda mwingi unapokuwa FREE na kusoma maandiko ya neno la MUNGU. UTASHINDA.
 
Wewe Dabo Diff !!!, kifupi ni kwamba unataka kufanya mapenzi na huyo mwanamke mwenzio, kupapasana, kunyonyana, penetration kwa bunduki za bandia, kusagana n.k. Lakini sijajua kama wewe unataka kusagwa au unataka kuwa msagaji wa huyo unayemtamani. Hebu niambie!!!!
 
Katika dunia hiyo ya kufikirika kichwani mwangu nikisema nae akakubali kuwa nami sidhani kuna nafasi ya mwanaume tena itabidi niongee na mume wangu tuachane ili niishi na kipenzi changu kwa hiyo hilo la 'threesome' halitakuwa na nafasi.
span.jajahWrapper { font-size:1em; color:#B11196; text-decoration:underline; } a.jajahLink { color:#000000; text-decoration:none; } span.jajahInLink:hover { background-color:#B11196; }

Kw ahiyo kwenye red. wewe ni mwongo, inawezekana hata huyo aliyekuzingua si mwanamke mwenzako, ni Bosi wako. You are just looking for a psychological satisfaction ya kuachana na ye ukaambatane na mwingine.
 
Hapo sina la kusema, ila jiepushe sana na kumkumbatia asubuhi hio ndio inakutia majaribuni n kingine omba sana ili hilo shetani/pepo la kusaga wenzio litoke. Hizo sifa ulizotoa kwa huyo mdada daa anafaaa kuwa mke wangu,nipe contact zake basi jamani nijaribu bahati yangu.
 
Unaomba ushauri wakati ushaamua kuwa utamshirikisha mmeo na kuamua kuachana ili ukaishi na kipenzi chako. Kwangu mimi tayari ameshakuwa wako na tayari ushaonja utamu. Ni mawazo yangu tu!

Ila KUKIMBIA TATIZO SI SULUISHO LA TATIZO bali KULIKABILI TATIZO NDIO NJIA SAHIHI. Pambana na tatizo ukiwa hapo hapo kazini kwako na sio kukimbia kwenda sehemu nyingine.

Unaahirisha tatizo kwa muda tu! Mbaya zaidi hata namba ya simu yake unayo. Kalikizo ulikokaomba kamekushinda unampigia japo usikie sauti tu. AHANA NA MAMBO HAYO WEWE. Mwombe Mungu sana kwa imani ya dini yake akuepushe na hili balaa unalotaka kulianzisha.
 
... kwa mujibu wa maelezo ya mdada na majibu yake kuhusu ushauri anaopewa na wanajamvi ni kwamba ameeshamua kuwa Lesbian. Anachotaka kutoka jamvini ni kuhalalishiwa tu kwamba kuwa Lesbian siku hizi ni the in thing so she shud just go ahead and eat her cake and have it. Sadly, I am going to be the first one to just tell her...Go lady, Go.....!!
 
A questiojn stil being asked a lot ,and researches still going on to find out if homosexuality is caused genetically and it's not just an acquired behaviour . Some researches suggested that women have greater connectivity between the two halves of their brain ,,and this connectivity is the cause of greater intuitiveness and creativity in women !!!! Same with gay men ,,and their brains are functioning quite the same as women's !!!!

So my take is there is no doubt that it can be either a personal choice or genetic. But because we all have the freedom of choice, i think each one of us can choose the life style which he/she wanna live, whether as a homosexual, heterosexual or bisexual, just a mater of choice!! Even you Diana doublediff can choose which lifestyle u wanna live.....
 
... kwa mujibu wa maelezo ya mdada na majibu yake kuhusu ushauri anaopewa na wanajamvi ni kwamba ameeshamua kuwa Lesbian. Anachotaka kutoka jamvini ni kuhalalishiwa tu kwamba kuwa Lesbian siku hizi ni the in thing so she shud just go ahead and eat her cake and have it. Sadly, I am going to be the first one to just tell her...Go lady, Go.....!!

Mungu wangu BabaDesi mbona unampoteza kondoo kirahisi namna hii?
Huu ni uchafu uliokithiri
 
Katika dunia hiyo ya kufikirika kichwani mwangu nikisema nae akakubali kuwa nami sidhani kuna nafasi ya mwanaume tena itabidi niongee na mume wangu tuachane ili niishi na kipenzi changu kwa hiyo hilo la 'threesome' halitakuwa na nafasi.

No doubt wewe ni msagaji! bold/underline hapo juu inaonyesha kabisa kama ungekuwa California ungekuwa tayari umeoa mwanamke mwenzako! Uchafu mtupu DDD wa Mburahati
 
No doubt wewe ni msagaji! bold/underline hapo juu inaonyesha kabisa kama ungekuwa California ungekuwa tayari umeoa mwanamke mwenzako! Uchafu mtupu DDD wa Mburahati

loud bold and clear!!!!!!!!!!
umeshajichagulia njia amabyo ina miiba!!!

labda kweli umtafute Charity akusaidie!!!! too sad
 
Some things are more than difficult to understand!! Is it posible for a woman to have sex affections to another woman???
Mi naona hizi ni hisia za kutengeneza!! Dada labda mimi ni mdogo kidogo katika haya mambo.
How did this katabia started?
Did you find yourself in that situation just after your adolescence?
May be you might be having some male hormones my dear.
But pole sana.
Vivi kweli uliyvosema wewe mdogo haya mambo yapo mimi wakati nasoma secondary niliwahi kupendwa na dada mmoja alikuwa juu yangu darasa moja kwakweli nilijitahidi kumuepuka na nilishinda ila nilimuona alikuwa anaumia kama mwanaume anapotongoza akakosa so haya mambo yapo wala usishangae na pole sana DD ila uamuzi uano mkononi mwako jitahidi uyashinde
 
Vivi kweli uliyvosema wewe mdogo haya mambo yapo mimi wakati nasoma secondary niliwahi kupendwa na dada mmoja alikuwa juu yangu darasa moja kwakweli nilijitahidi kumuepuka na nilishinda ila nilimuona alikuwa anaumia kama mwanaume anapotongoza akakosa so haya mambo yapo wala usishangae na pole sana DD ila uamuzi uano mkononi mwako jitahidi uyashinde

Ngozi Zomukama (Mapenzi ya Bwana),

Hizo ni HISIA za kutengeneza na sio maumbile. Ukichunguza sana wanawake wanaojifanya kuvutiwa na wanawake wametoka katika familia ambazo wazazi walikuwa na mtafaruku day in - day out na kisaokolojia hao mabinti wanakuwa wanachukia wanaume abadani. Matokeo yake sasa wao ndio wanajivisha uanaume! Absurd!
 
Back
Top Bottom