WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
BAK naona umeanzia kusoma katikati nilisema hapo nyuma kuwa nilipokuwa chuo na mwanzo kazini nilitumia 'sex transmutation' kuhamisha mawazo yangu ya ngono kwenda masomoni lakini kwakuwa sasa nimeshafika napotaka hamna pa kuhamishia hizi hisia kunisahaulisha.
Pa kuhamishia.... ??
Kwanini usijishughulishe na KILIMO KWANZA CAMPAIGN? Wallahi hutapata nguvu wala muda wa kumfikiria si mwanamke wala mwanaume.