Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Plz amua kati ya haya mawili kwani kuna wakati ushauri wa watu hauwezi kumsaidia mtu. Nimeona majibu yako uko ktk point of no return na kunikumbusha usemi wa jeshini "aliyeona target aendelee" nawe shabaha umeshaiona unasita nini? Chagua mpenzi wangu nini cha kufanya sasa, kwani wakati ni huu.
1. Usiuendeke moyo unavyokutuma, unadanganya; jaribu kushinda usiposhinda huna budi kuumia.
2. Tafadhali tii kiu yako kama unaona hakuna namna maana ingawa unasema hujawabado msagaji lakini naamini unajua kusaga na kukuboa na tayari unayo midoli ya dhakari.
1. Usiuendeke moyo unavyokutuma, unadanganya; jaribu kushinda usiposhinda huna budi kuumia.
2. Tafadhali tii kiu yako kama unaona hakuna namna maana ingawa unasema hujawabado msagaji lakini naamini unajua kusaga na kukuboa na tayari unayo midoli ya dhakari.