Nimefanya kazi hapa miaka kadhaa na si unajua kuanza upya vigumu? na huko nikikutana na majaribu haya nihame tena? Nipo njia panda.
span.jajahWrapper { font-size:1em; color:#B11196; text-decoration:underline; } a.jajahLink { color:#000000; text-decoration:none; } span.jajahInLink:hover { background-color:#B11196; }
Mimi sikiushauri uhame ofisi, hapo tatizo sio kazi unaonekana ni mchapakazi mzuri kwa muda uliopo hapo, hata kama utahama utakutana nao tu huko maana siku hizi sio siri mabinti ni wazuri sana. Cha msingi muombe mungu wako tu akuepushe na hilo pepo, litakuaribia hata kazi na ndoa!